Beki la kazi kuifuata Simba Misri

SIMBA inapambana kuweka mambo sawa katika maeneo mbalimbali ya uwanjani ikiwa kambini nchini Misri, ambapo ikiwa huko imeshambulisha vichwa kadhaa vya maana tu katika kikosi chake vinavyosubiriwa kwa hamu na mashabiki wa Msimbazi. Taarifa mpya ni kwamba timu hiyo inapambana kumalizana na beki mmoja wa kati ili akaungane na kikosi hicho kilichopo Cairo, kikijifua kwa…

Read More

WATAALAM WANAOSIMAMIA UAANDAAJI NA UTEKELEZAJI WA BAJETI YA SERIKALI WAASWA KUTUMIA KIKAMILIFU MFUMO WA CBMS

Kamishna wa Bajeti, Wizara ya Fedha, Bw. Meshack Anyingisye, akizungumza wakati akifungua Kikao kazi cha Wataalam wa Wizara, Idara zinazojitegemea, Wakala za Serikali na Sekretarieti za Mikoa, katika ukumbi wa Kambarage, Treasury Square, jijini Dodoma, kuhusu Mfumo wa Uandaaji na Usimamizi wa Bajeti (CBMS), ambapo aliwasihi kutumia mafunzo hayo kama fursa katika kubadilisha utendaji katika…

Read More

Vijana 12,000 kunufaika na mradi wa EACOP

Geita. Vijana 12,000 kutoka mikoa ya Geita, Kagera, Tabora na Tanga wanatarajiwa kunufaika na mradi wa kuwawezesha kiuchumi unaotekelezwa katika maeneo yaliyopitiwa na Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP). Mradi huo ni sehemu ya mpango wa uwajibikaji wa kampuni hiyo kwa jamii wakati na baada ya ujenzi wa bomba hilo. Akizungumza katika uzinduzi…

Read More

Tanzania kuwa kinara ajenda ya wanawake, amani na usalama

Dar es Salaam. Wadau wa amani na usalama nchini wameshiriki kwa pamoja mdahalo wa kujadili mpango kazi wa kitaifa wa kutekeleza ajenda ya wanawake, amani na usalama 2025-2029 unaotarajiwa kuzinduliwa kesho Agosti 19, 2025 na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati,  Dk Doto Biteko. Siku moja kabla ya uzinduzi huo wadau mbalimbali wameshiriki katika…

Read More

DKT.BITEKO AZINDUA MRADI UTAKAOWAKWAMUA VIJANA KIUCHUMI KATIKA MAENEO YANAYOPITIWA NA BOMBA LA MAFUTA GHAFI (EACOP)

 Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko leo amezindua  Mpango wa Uwezeshaji wa Kiuchumi kwa Vijana (YEE) ambao unagusa maeneo yanayopitiwa na mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) ikiwa ni jitihada zinazoendelea kufanywa na Serikali katika kuhakikisha kuwa jamii zilizo karibu na miradi zinanufaika na miradi hiyo….

Read More

Watengeneza ajali ili walipwe bima kukiona cha moto

Dar es Salaam. Katika kuhakikisha huduma za bima zinatolewa kwa haki nchini, Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (Tira), imeonya baadhi ya watu wenye tabia ya kutengeneza matukio ya ajali ili walipwe zaidi ya haki ya kile kinachowastahili ikisema ni kosa kisheria na wakibainika watatupwa jela. Hayo yamebainishwa na Kamishna wa Bima, Dk Baghayo Saqware…

Read More

Hii hapa ratiba kamili uchaguzi mkuu, kura ya mapema Zanzibar

Unguja. Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imetangaza ratiba kamili ya uchaguzi utakaofanyika Oktoba 29, 2025, ambapo kura ya mapema inatarajiwa kupigwa Oktoba 28, 2025. Akitangaza ratiba hiyo kwa waandishi wa habari leo Jumatatu, Agosti 18, 2025, Mwenyekiti wa tume hiyo, George Joseph Kazi, amevitaka vyama vya siasa vitakavyoweka wagombea pamoja na wagombea wenyewe katika ngazi…

Read More

Omary wa Fountain Gate kukaa nje wiki mbili

KIUNGO mshambuliaji wa Fountain Gate, Hashim Omary amejikuta akianza maandalizi ya msimu ujao kwa kupata jeraha la bega akiwa katika kambi ambayo timu hiyo imepiga mkoani Morogoro. Omary ameliambia Mwanaspoti kuhusiana na jeraha hilo alilolipata akiwa katika mazoezi na daktari akamwambia atatakiwa kukaa nje kwa takriban wiki mbili ili kujiuguza kisha ataambiwa kipi cha kufanya….

Read More

CHINI YA RAIS SAMIA UKUSANYAJI WA MAPATO WAFIKIA TZS3.1TRILIONI MWAKA 2025 KUTOKA TZS1.72TRILIONI ZA MWAKA 2020

::::::::: Chini ya Rais Samia, mapato ya ndani yameongezeka kutoka shilingi trilioni 20.59 mwaka 2020|21 (wastani wa trilioni 1.72 kwa mwezi) hadi trilioni 29.83 mwaka 2023|24 (wastani wa trilioni 2.49 kwa mwezi) kwa sasa mapato yamefikia trilioni 3 kwa mwezi, huku kati ya Julai 2024 hadi Mei 2025 yakipanda zaidi kufikia wastani wa trilioni 2.83…

Read More

CHAN 2024: Wamorocco waingiwa ubaridi

KOCHA wa timu ya taifa ya Morocco kwa wachezaji wa ndani, Tarek Sektioui amekiri hajawa na muda wa kuangalia kwa undani mechi za Taifa Stars ambao watakabiliana nao, Jumamosi ya Agosti 22 kwenye mechi ya robo fainali mashindano ya CHAN 2024. Morocco ambayo ilimaliza nafasi ya pili kwenye msimamo wa kundi A ikiwa na pointi…

Read More