Yona Amos ajihami mapema Ligi Kuu Bara

KIPA wa Pamba Jiji, Yona Amos aliyemaliza Ligi Kuu Bara msimu uliopita akiwa na ‘clean sheet’ 11, amesema kuna mambo mengi ameyafanyia marekebisho na kuongeza ujuzi wa namna ya kuimarisha ulinzi golini. Amesema alipata muda wa kuzitazama mechi za msimu uliyopita, zilizomsaidia kuona baadhi ya mapungufu aliyoyafanyia kazi, kuhakikisha huduma yake inakuwa bora kwa timu….

Read More

KVZ yaanza mbwembwe, yautaka ubingwa Ligi Kuu

BAADA ya msimu wa 2024-2025, KVZ kumaliza nafasi ya pili katika msimamo wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), kocha wa timu hiyo, Ali Khalid amesema safari hii ni zamu yao kuwa mabingwa. KVZ iliukosa ubingwa huo kwa tofauti ya mabao 23 dhidi ya Mlandege iliyomaliza kinara zote zikiwa na pointi 62. Mlandege ilifunga mabao 67 na…

Read More

Jeremiah Juma: Mbinu za makocha zimebadilisha mpira

MSHAMBULIAJI wa Tanzania Prisons, Jeremiah Juma amesema kitendo cha makocha kujifunza mbinu mpya kila wakati, kumeleta mabadiliko ya mpira wa miguu kuchezwa kisasa zaidi. Aliitaja ni kati ya sababu ya kila msimu Ligi Kuu kuonekana ngumu na yenye ushindani, lakini mchezaji anayetamani kufika mbali kufanya bidii ya mazoezi na kutunza kiwango. “Kadri miaka inavyokwenda ndivyo…

Read More

Salamba afichua kinachomkwamisha kucheza Ligi Kuu

MECHI tatu ilizocheza Coastal Union, ikifungwa mabao 2-0 dhidi ya Dodoma, ikipoteza kwa mabao 2-1 dhidi JKT Tanzania na kushinda bao 1-0 dhidi ya Tanzania Prisons, straika wa timu hiyo Adam Salamba hajaonekana uwanjani. Salamba amesema sababu ya kutocheza mechi hizo ni kutokana na kutopata kibali cha uhamisho wa kimataifa (ITC) kilichoiomba Coastal katika klabu ya…

Read More

BEI ZA PETROLI, DIZELI ZAENDELEA KUSHUKA

 ::::::: BEI ya mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa kwa mwezi Oktoba 2025 zimeendelea kushuka ambapo bei za rejareja za petroli zimepungua kwa sh. 55, dizeli sh 50 ikiwa ni muendelezo wa kupungua kwa bei za bidhaa hizo . Kwa mujibu wa taarifa ya Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za…

Read More