Wanawake waongoza mikopo kidijitali | Mwananchi

Dar es Salaam. Kwa mara ya kwanza nchini, wanawake wanamiliki akaunti za mikopo ya kidijitali nyingi zaidi kuliko wanaume, jambo linalowafanya kuwa wakopaji wakuu katika sekta ya teknolojia ya fedha inayokua kwa kasi. Takwimu mpya kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na Ofisi za Taarifa za Wakopaji (Credit Reference Bureaus) zinaonesha idadi ya akaunti za…

Read More

Dk Nchimbi awaahidi makubwa Simiyu, wananchi wataka utekelezaji

Busega. Wakati mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi akiwaahidi wana Busega, mkoani Simiyu miradi mbalimbali, wananchi nao wamekitaka chama hicho kuzitekeleza kwa vitendo. Wamesema kuahidi ni jambo moja na kuzitekeleza ni suala jingine, hivyo mgombea Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wanapaswa kuhakikisha ahadi hizo zinatekelezwa ndani ya miaka…

Read More

Ismail Mgunda hana presha Mashujaa

BAADA ya mshambuliaji wa Mashujaa, Ismail Mgunda kurejea kucheza Ligi Kuu Bara amesema anatamani kutajwa katika orodha ya wafungaji wenye mabao mengi msimu unaoanza Septemba 17. Mgunda katikati ya msimu uliyopita aliondoka Mashujaa akiwa amefunga mabao mawili kwenda kujiunga na AS Vita ya DR Congo ambako hata hivyo hakufanikiwa kutimiza ndoto kwa kile alichokitaja ni…

Read More

Daraja jipya laibua kicheko kwa wasafiri, madereva

Kibaha. Wananchi, madereva na wasafirishaji waliokuwa wakikumbwa na changamoto kubwa ya usafiri kila msimu wa mvua eneo la bonde la maji, Ruvu, Kibaha mkoani Pwani, sasa wamefurahi baada ya kukamilika kwa ujenzi wa daraja jipya la mita tano lenye thamani ya Sh1.5 bilioni. Kwa miaka mingi, eneo hilo lilikuwa kikwazo kikubwa kwa usafiri, kwa sababu…

Read More

Mwili wakutwa kwenye bwawa Kahama

Kahama.  Mwanamume ambaye hajafahamika jina wala makazi yake amekutwa amefariki dunia kwenye bwawa la maji lililopo Kata ya Nyihogo, Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga. Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji  Wilaya ya Kahama,  Stanley Luhwago akizungumza leo Septemba mosi, 2025, amesema tukio hilo limetokea Agosti 31, 2025. Amesema walipokea taarifa kutoka kwa wananchi waliouona…

Read More

MAAFISA MIPANGOMIJI WAFUNDWA KUTEKELEZA MAJUKUMU KWA WELEDI

Na Munir Shemweta, WANMM ARUSHA Katika kuboresha utendaji kazi na usimamizi wa masuala ya mipangomiji nchini Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi kupitia idara ya Maendeleo ya Makazi inaendesha kikao kazi kwa Maafisa Mipangomiji wa mikoa ili kujipanga kutekeleza majukumu yao kwa weledi. Kikao hicho cha siku tatu kinachofanyika mkoani Arusha kuanzia Sept…

Read More