Ofisi ya Haki za UN ina wasiwasi juu ya kuongezeka katika Jiji la Gaza, Mipango ya Annexation kwa Benki ya Magharibi – Maswala ya Ulimwenguni

Ajith Sunghay, kichwa cha OhchrOfisi katika eneo lililochukuliwa la Palestina (OPT), aliambiwa Habari za UN Kwamba kuongezeka kumesababisha uharibifu mkubwa kwa majengo ya makazi katika sehemu za kusini mwa Gaza Kaskazini na katika maeneo ya kaskazini mashariki mwa Jiji la Gaza. Hii imesababisha majeruhi zaidi wa raia na kuhamishwa. Mamlaka ya afya ya eneo hilo…

Read More

ZAIDI YA 1000 KUHUDHURIA MKUTANO WA NYAMA YA NGURUWE DAR

ZAIDI ya wajumbe 1,250 wa kimataifa na ndani wanatarajiwa kuhudhuria mkutano mkuu wa sekta ya nguruwe barani Afrika unaotarajiwa kufanyika nchini kuanzia Septemba 11 hadi 13, mwaka  Mkutano huo utafanyika Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam, kuzungumzia  hatua muhimu kwa sekta ya ufugaji wa nguruwe inayokuwa kwa kasi nchini. Mkutano huo ulioandaliwa na Chama cha…

Read More

MGOMBEA URAIS CCM RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AENDELEA KUCHANJA MBUGA… AHUTUBIA MAELFU YA WANANCHI MBALIZI

*Atoa maelekezo kwa wakulima kuendelea kujisajili katika mfumo wa kupata Mbolea ya ruzuku,pembejeo. *Aahidi mambo makubwa katika miaka mitano ijayo …agusia kuendelea kuboresha huduma za kijamii  Na Said Mwishehe,Michzuzi TV-Mbalizi MGOMBEA Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan ameendelea kuchanja mbuga ambapo leo Septemba 4,2025 amehutubia maelfu ya wananchi Mji Mdogo…

Read More

Je, hisa za kijani ni upepo mpya wa soko la fedha Tanzania?

Katika ulimwengu unaobadilika kwa kasi, ambapo mabadiliko ya tabianchi na uharibifu wa mazingira vimekuwa changamoto kubwa, dhana ya fedha endelevu imepata umaarufu mkubwa. Fedha endelevu inahusu uwekezaji na mifumo ya kifedha inayozingatia masuala ya kimazingira, kijamii na utawala bora (ESG – Environmental, Social, and Governance). Tanzania, kama nchi nyingine zinazoendelea, inakabiliwa na uhitaji mkubwa wa…

Read More

Watanzania wahimizwa kuwekeza UTT Amis wavune faida

Dar es Salaam. Uwekezaji katika mifuko ya uwekezaji ya taasisi ya Serikali inayosimamia na kuendeleza mifuko ya uwekezaji wa pamoja UTT Amis umetajwa kuwa bora, hakika na salama zaidi huku ukiwa na utajiri wa faida ya mtaji. Hayo yamebainishwa leo Alhamisi ya Septemba 4, 2025 wakati wa mjadala wa Mwananchi Space ulioandaliwa na Mwananchi Communications…

Read More

Mikopo inayotolewa na benki yaongezeka, Dar bado kinara

Dar es Salaam. Wakati mikopo inayotolewa na benki nchini ikiongezeka kwa asilimia 73.83 katika kipindi cha miaka minne, wakazi wa Dar es Salaam ndio wanufaika wakuu. Dar es Salaam kuwa kinara wa uchukuaji mikopo katika kipindi hicho kunatajwa kuchangiwa na uwepo wa shughuli nyingi za kibiashara, ufikiaji huduma na mazingira mazuri yaliyopo. Ripoti ya hali…

Read More

MACHIFU KUTUMIA MBINU ZA KIJADI KUWADHIBITI WANAOMBEZA RAIS SAMIA MITANDAONI … “TUNAKASIRISHWA SANA”

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Mbalizi WAKATI mgombea Urais kwa tiketi ya CCM Rais Dk.Samia Suluhu Hassan akiwa katika mkutano mkoani Mbeya machifu nchini wametangaza kuchukua hatua kwa njia za kimila kuwakomesha wale wote wanaobeza maendeleo na wengine kutoa lugha chafu kwa Rais Dk.Samia. Machifu wamesema katika mambo ambayo yanawakasirisha na kuona au kusikia Rais Samia akitukwana…

Read More