Halmashauri Tano Zatangaza Nafasi za Kazi mpya Septemba 2025 – Global Publishers



Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri za Wilaya husika anawatangazia Watanzania wenye sifa na nia ya kufanya kazi kuomba nafasi za kazi zilizotolewa, kufuatia vibali vya ajira kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mwaka wa fedha 2023/2024.

1. HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO

Kibali: Kumb. Na. FA.97/228/01/09 cha 25.06.2024

Mwisho wa kutuma maombi: 16 Septemba 2025

2. HALMASHAURI YA WILAYA YA BABATI

Mwisho wa kutuma maombi: 16 Septemba 2025

3. HALMASHAURI YA WILAYA YA MUSOMA

Mwisho wa kutuma maombi: 12 Septemba 2025

4. HALMASHAURI YA WILAYA YA RORYA

Tarehe ya tangazo: 02 Septemba 2025, Mwisho wakutuma maombi ya kazi ni tarehe 14 Septemba, 2025

5. HALMASHAURI YA WILAYA YA TARIME

Tarehe ya tangazo: 01 Septemba 2025, Mwisho wakutuma maombi ya kazi ni tarehe 12 Septemba, 2025.

Kusoma matangazo ya kazi kwa kina fungua lingi hapa chini

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA BABATI

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUSOMA

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RORYA 

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA TARIME