TANFOAM MARATHON ARUSHA YAZINDULIWA RASMI KWA MSIMU WA PILI

 Na Pamela Mollel, Arusha Mashindano ya Tanfoam Marathon yamezinduliwa rasmi kwa msimu wa pili, yakitarajiwa kufanyika tarehe 7 Desemba 2025 jijini Arusha katika Viwanja vya General Tire. Wananchi wa ndani na wageni kutoka mataifa mbalimbali wametakiwa kujitokeza kushiriki na kushuhudia tukio hilo kubwa la michezo. Akizungumza wakati wa uzinduzi, Mwenyekiti wa mbio hizo Glorious Temu…

Read More

DAR ES KUKOSA UMEME KWA SAA 10,MAENEO HUSIKA YATAJWA

::::::: Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limetangaza kukatika kwa umeme kesho Jumapili, Septemba 7, 2025, kutokana na matengenezo katika kituo cha kupoza umeme cha Gongolamboto.  Taarifa iliyotolewa leo Jumamosi Septemba 6, 2025 imesema, umeme utakosekana kuanzia saa 1 asubuhi hadi saa 11 jioni, hatua inayolenga kuimarisha huduma kwa wateja wake wa Mkoa wa Ilala na…

Read More

DK.SAMIA SULUHU HASSAN AIHIMIZA MAKUNDI YAVUNJWE CCM İLİ KUWA WAMOJA“ TUSIISHIWE POWER”

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Mafinga MWENYEKIITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama hicho katika Uchaguzi mkuu mwaka huu Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wana CCM kuvunja makundi na iwawe wamoja ili wasiishie Power kama walivyo wengine. Akizungumza katika mkutano wa kampeni za Urais kuelekea Oktoba 29,2025 uliofanyika Mafinga…

Read More

Wasira: Badala ya kulalamika, fanyeni kazi muwe kama Samia

Musoma. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amewataka watu wanaohoji sababu za kumsifu mwenyekiti wa chama hicho, Samia Suluhu Hassan, kuacha malalamiko na badala yake wajikite katika kufanya mambo yenye tija kwa maendeleo ya wananchi, ili nao wapate sifa. Wasira amesema si vibaya kiongozi kusifiwa pale anapotekeleza majukumu yake kwa ufanisi,…

Read More

UMD yaahidi ‘mgodi wa machungwa’ Muheza

Dar/Tanga. Chama cha Union Multiparty Democracy (UMD) kimeahidi kuwa endapo kitapewa dhamana ya kuongoza nchi, kitatekeleza mradi wa ‘mgodi’ wa machungwa katika Wilaya ya Muheza, mkoani Tanga, ili kuwanufaisha wananchi wa eneo hilo kupitia kilimo cha zao hilo. Aidha, chama hicho kimeahidi kuondoa adha ya upungufu wa maji kwa wananchi kwa kuwajengea visima katika kila…

Read More

DC Mpogolo azindua vitabu kwenye MwanaClick

Dar es Salaam. Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, amesema utunzi wa vitabu unaofanywa na watu mbalimbali nchini ni ushahidi wa wazi wa mapinduzi chanya ambayo Tanzania imeyapitia katika nyanja mbalimbali za maendeleo. Mpogolo amesema kuwa kitendo cha Watanzania kujitokeza kuandika na kuchapisha vitabu ni ishara ya jamii inayozidi kukomaa kielimu, kiutamaduni na kitaaluma,…

Read More

Mtandao mpya wa kuwatafutia wabunifu mitaji wazinduliwa

Dar es Salaam. Wamiliki wa kampuni changa za kibunifu (Startups) huenda wakawa mbioni kuondokana na changamoto ya mitaji baada ya kuzinduliwa mtandao utakaowaunganisha na wawekezaji. Uzinduzi wa mtandao huo umefanyika wakati ambao mtaji ni kilio kwa wabunifu, hali inayosababisha mawazo yao kushindwa kuendelea na kuleta tija iliyokusudiwa kwa jamii. Mtandao ujulikanao Malaika (Rhapta Angels Investor…

Read More