Maajabu ya Kundi C Kagame Cup 2025

MICHUANO ya Kombe la Kagame imeanza kwa kasi, lakini tofauti na makundi mengine, Kundi C limeonekana kuwa la kipekee baada ya timu zote nne kuanza kwa sare katika mechi za kwanza. Katika mechi ya mapema iliyochezwa juzi Alhamisi, Kator ya Sudan Kusini ililazimishwa suluhu na Al-Ahly Wad Madani ya Sudan, kabla ya Al-Hilal Omdurman kutoka…

Read More

Mbeya City ile siku ndo leo

JIJI la Mbeya leo litakuwa lipo bize kutokana na uwepo wa tamasha la kijanja la klabu ya Mbeya City iliyorejea katika Ligi Kuu Bara msimu huu, ikitoka Ligi ya Championship. Wanakomakumwanya leo ni siku yao na ndio maana wanashangweka kupitia Mbeya City Day kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini humo baada ya awali kufanya shughuli mbalimbali…

Read More

Fountain yanasa beki Mrundi | Mwanaspoti

UONGOZI wa Fountain Gate uko katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa aliyekuwa beki wa kati wa Namungo raia wa Burundi, Derrick Mukombozi, baada ya nyota huyo kuafikiana maslahi binafsi na mabosi wa kikosi hicho. Taarifa kutoka ndani ya uongozi wa kikosi hicho zimeliambia Mwanaspoti, Mukombozi amekubali maslahi binafsi na tayari amepewa mkataba wa…

Read More

Faida, Hasara Za Wapendanao Kuambizana Ukweli! – Global Publishers

UKIZUNGUMZA na wanaume wengi kwa sasa, watakuambia wanawake siyo wa kuwaeleza kila kitu katika uhalisia wake. Wanatakiwa kudanganywa kidogo ili mambo yaende. Wanaitumia hiyo kama silaha wakidai kwamba wanawake ni watu ambao wakijua kila kitu wanasumbua. Wanaamini kwamba hata kama ni fedha, mwanaume akimuambia mpenzi wake ana jumla ya kiasi fulani cha fedha basi matumizi yatakayoibuliwa…

Read More