TANFOAM MARATHON ARUSHA YAZINDULIWA RASMI KWA MSIMU WA PILI
Na Pamela Mollel, Arusha Mashindano ya Tanfoam Marathon yamezinduliwa rasmi kwa msimu wa pili, yakitarajiwa kufanyika tarehe 7 Desemba 2025 jijini Arusha katika Viwanja vya General Tire. Wananchi wa ndani na wageni kutoka mataifa mbalimbali wametakiwa kujitokeza kushiriki na kushuhudia tukio hilo kubwa la michezo. Akizungumza wakati wa uzinduzi, Mwenyekiti wa mbio hizo Glorious Temu…