Mukwala anahesabu saa tu | Mwanaspoti

DIRISHA la usajili la usajili linatarajiwa kufungwa usiku wa leo, huku kukiwa na sapraizi kubwa kwa klabu ya Simba baada kutema mastraika wawili walioibeba timu hiyo msimu uliopita, huku winga aliyekuwa akitajwa huenda angefyekwa, akisalimika kama zali. Ipo hivi. Msimu uliopita, Simba iliongozwa eneo la mbele ya washambuliaji Steven Mukwala na Leonel Ateba kila mmoja…

Read More

Jamila Rajabu anavyoisaka rekodi ya kiatu CECAFA

HADI sasa mshambuliaji kinda wa JKT Queens, Jamila Rajabu anashikilia rekodi ya kufunga hat-trick kwenye michuano ya CECAFA kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika kwa wanawake, baada ya chama lake kuitandika JKU mabao 5-0. Rekodi hiyo inamfanya kuanza kujiwekea nafasi ya kukitafuta kiatu cha ufungaji bora ambacho hadi sasa kinashikiliwa na Fazila Ikwaput wa Kampala Queens….

Read More

Thamani ya Yanga yaizidi hadi Al Ahly

MWENYEKITI wa Kamati ya Mabadiliko ya Mfumo wa Uendeshaji wa Klabu ya Yanga, Alex Mgongolwa, amesema kwa sasa thamani ya timu hiyo imefikia kiasi cha Sh100 bilioni. Thamani hiyo ni kubwa kuliko hata iliyo nayo klabu ya Al Ahly ambayo ni Euro 30 Milioni ambao ni zaidi ya Sh 88 bilioni) ikiwa ni zaidi ya…

Read More

Wiki mbili tu, hati ya uwanja mpya Yanga freshi

YANGA imehakikishiwa kuwa, ndani ya wiki mbili tu itakabidhiwa rasmi hati ya ongezeko la eneo la ujenzi wa uwanja unaotarajiwa kujengwa makao makuu ya klabu hiyo mtaa wa Jangwani. Eneo hilo awali ndiko ulikokuwa Uwanja wa Kaunda ulioifanya Yanga kuwa klabu ya kwanza kumiliki uwanja kabla ya mambo kuwatibukia na kuhaha kuurejesha, ila kikwazo ilikuwa…

Read More

WanaCCM Same Mashariki watakiwa kuvunja makundi

Same. Mgombea mteule wa Viti Maalumu kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, Zuena Bushiri, amewataka wanachama wa chama hicho katika Jimbo la Same Mashariki kuvunja makundi na kuungana kwa pamoja ili kuhakikisha wagombea wa CCM wanashinda kwa kishindo katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025. Bushiri ametoa wito huo alipozungumza katika mkutano…

Read More

DK. NCHIMBI APAA KWA HELIKOPTA KUSAKA KURA ZA CCM KAGERA

MGOMBEA Mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, leo Septemba 7, 2025, ameruka kwa helikopta akizisaka kura za kishindo za CCM kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu. Balozi Dk. Nchimbi ameanza ziara yake ya kampeni Mkoani Kagera kwa kishindo, ambapo atafanya mikutano katika…

Read More

TANZANIA KUSHUHUDIA KUPATWA KWA MWEZI KIKAMILIFU LEO

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imeeleza kuwa, Septemba 7,2025 kunatarajiwa kuwepo kwa tukio la kupatwa kwa Mwezi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Septemba 6,2025 na TMA imefafanua kuwa,hali ya kupatwa kwa Mwezi ni tukio linalotokea wakati Dunia inapita kati ya Jua na Mwezi na kusababisha kivuli cha Dunia kuwa katika uso wa Mwezi….

Read More