TMA YAHIMIZWA KUENDELEA KUSHIRIKISHA WADAU ILI KUKABILIANA NA ATHARI ZA MABADILIKO YA HALI YA HEWA

…………….. Dodoma; Tarehe 8, Septemba, 2025. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imehimizwa kuendelea kushirikisha wadau kutoka sekta mbalimbali ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya hali ya hewa nchini.  Mgeni rasmi na Mwenyekiti wa Bodi ya TMA, Mhe. Jaji Mshibe Ali Bakari alisema hayo wakati akifungua mkutano wa 24 wa wadau katika kujadili…

Read More

Mechi za Kufuzu Kombe la Dunia Kukupatia Ushindi

JE unajua kuwa unaweza kushinda leo kwenye mechi za kufuzu Kombe la Dunia Mataifa ya Afrika?. Mechi kibao za pesa zipo leo kuanzia majira ya saa 10:00 jioni. Ingia kwenye akaunti yako na uanze safari ya ushindi hapa. Katika kundi H, kutakuwa na mtanange wa kukata na shoka kati ya Equatorial Guinea dhidi ya Tunisia…

Read More

JKU yang’olewa kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika

Yei Joint Stars ya Sudan Kusini imeanza kwa ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya JKU ya Zanzibar kwenye mechi ya kwanza ya kundi C la michuano ya kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake mechi iliyopigwa kwenye Uwanja wa Ulinzi Complex, Nairobi, Kenya. Matokeo hayo yanaifanya JKU kuondolewa kwenye mashindano hayo ya Cecafa kwa Wanawake…

Read More

TPA yaja na mkakati wa soko la DRC

Dar es Salaam. Baada ya mkakati wa maboresho kuongeza ufanisi wa utendaji wake, Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) sasa imegeukia kuyasaka masoko, ikianza na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). DRC inachangia zaidi ya asilimia 40 ya mizigo yote inayosafirishwa kupitia Bandari ya Dar es Salaam, kwa mujibu wa ripoti ya TPA ya…

Read More