Simba yalipa kisasi kwa Gor Mahia

TAMASHA la Simba Day limehitimishwa kwa mechi ya kirafiki wa kimataifa uliozikutanisha Simba dhidi ya Gor Mahia ya Kenya. Mchezo huo uliofanyika leo Septemba 10, 2025 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, Simba imeibuka na ushindi wa mabao 2-0, huku ikilipa kisasi mbele ya Gor Mahia. Kisasi hicho Simba imelipa baada ya mara…

Read More

Msajili, CAG waguswa kesi ya rasilimali Chadema

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimekana kuwa na nyaraka kuhusu rasilimali zake zilizoombwa katika kesi ya mgogoro wa mgawanyo wa rasilimali inayokikabili. Kimesema Msajili wa Vyama vya Siasa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), ndio wenye baadhi ya nyaraka zinazoombwa. ‎Kesi hiyo ya madai namba 8323 ya…

Read More

Kiwango cha fetma ya watoto kinazidi kesi zilizo chini ya ardhi ulimwenguni kwa mara ya kwanza, UNICEF inaonya – Maswala ya Ulimwenguni

Mmoja kati ya watoto 10 wa miaka 5 hadi 19 – Milioni 188 ulimwenguni -sasa wanaishi na ugonjwa wa kunona sana, wakiweka katika hatari kubwa ya magonjwa sugu kama vile ugonjwa wa kisukari cha 2, hali ya moyo, na saratani fulani. “Tunapozungumza juu ya utapiamlo, hatuzungumzi tena juu ya watoto wenye uzito,” alisema UNICEF Mkurugenzi…

Read More

Duchu apewa mikoba ya Tshabalala Simba

BAADA ya Mohamed Hussein ‘Tshabalala’ kuondoka Simba, timu aliyoitumikia kwa takribani miaka kumi, sasa kuelekea msimu wa 2025-2026, mikoba yake ipo kwa David Kameta ‘Duchu’.  Tshabalala ambaye alikuwa nahodha wa Simba, msimu ujao atakuwa na kikosi cha Yanga alichojiunga nacho akiwa mchezaji huru. Mikoba aliyokabidhiwa Duchu si unahodha, bali ni jezi namba 15 aliyokuwa akiivaa…

Read More

Mgombea urais UDP aahidi majisafi, elimu bure hadi chuo kikuu

Geita. Mgombea urais wa Chama cha United Democratic Party (UDP),  Saumu Rashid amesema chama chake kimejipanga kutatua changamoto kubwa zinazowakabili Watanzania kwa kuhakikisha upatikanaji wa majisafi na salama, elimu bure hadi chuo kikuu, huduma za afya nafuu na uwekezaji wenye tija katika rasilimali za Taifa. Akizungumza leo Septemba 10, 2025 kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika…

Read More

Nyuki walioweka makazi Msamvu watimka na kung’ata watu

Morogoro. Baadhi ya watumiaji wa vyombo vya moto, baiskeli na watembea kwa miguu wameng’atwa na nyuki waliokuwa wamevamia eneo la Msamvu Mataa, Manispaa ya Morogoro, huku wengine wakipata majeraha baada ya kudondoka na vyombo vyao vya usafiri wakijaribu kuwakimbia nyuki hao. Tukio hilo limetokea leo Jumatano Septemba 10 kwenye nguzo za taa za barabarani zilizopo…

Read More

Gor Mahia katikati ya mtego wa Simba

WAKATI tamasha la kilele la Simba Day likihitimishwa leo, kikosi cha Gor Mahia ya Kenya kiko katika mtego wakati kikiwa nyuma kwa bao 1-0 dhidi ya ‘Wekundu hao wa Msimbazi’. Iko hivi, mara ya mwisho kwa Simba kupoteza mechi ya Simba Day dhidi ya timu kutoka Kenya ilikuwa mwaka 2012, jambo linalosubiriwa kuona kama Gor…

Read More