Mazingira kujua mpenzi wako sio mwaminifu

Dar es Salaam. Kila mmoja atakubaliana na mimi kwamba uhusiano baina ya wapendanao ulikusudiwa kuwa wa upendo, maelewano, kuaminiana, na urafiki wa hali ya juu. Kwa bahati mbaya hali halisi siyo hiyo katika uhusiano wa watu wengi. Wengi wetu tumeumizwa kwa mpenzi mmoja au mara nyingine wote kutokuwa waaminifu katika uhusiano. Kutokuwa mwaminifu hapa namaanisha…

Read More

TUGHE KUWANOA WAFANYAKAZI NA WAAJIRI ILI KUBORESHA UTENDAJI KAZI

 :::::::::::: 14 Septemba 2025, ARUSHA Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE) kimeandaa mafunzo yatakayowakutanisha Wafanyakazi na Waajiri yanayojulikana kama “Semina ya Waajiri na Viongozi wa Matawi ya TUGHE yatakayofanyika jijini Arusha kuanzia tarehe 15-18 Septemba 2025. Mafunzo hayo muhimu yanatarajia kuwakutanisha takribani washiriki 1000 kutoka kutoka Serikalini na Taasisi za Serikali na…

Read More

Lishe bora nguzo muhimu malezi ya mtoto

Dar wa Salaam. Katika malezi ya mtoto, wazazi wengi hujielekeza zaidi kwenye elimu, nidhamu na maadili, huku wakisahau jambo moja la msingi ambalo ni la kumpatia lishe bora.  Mara nyingi, tabia ya mtoto inapobadilika au kutokuwa ya kuridhisha, mzazi hukimbilia kulaumu mazingira ya shule, marafiki au hata vipindi vya runinga na wengine hudandia hoja ya…

Read More

Suala la ulezi wa pamoja baada ya talaka

Katika dunia ya sasa talaka haimaanishi tena mgawanyiko usiokwepeka hasa linapokuja suala la malezi. Kimsingi, mbali ya talaka,  wazazi waliotalakiana wanapaswa kukumbatia mtazamo wa kisasa wa kushirikiana katika kulea watoto wao, hata  kama wanaishi tofauti. Kwa miaka mingi, talaka ilihusishwa na ratiba ngumu za ulezi, mapambano ya kisheria, na mawasiliano ya migogoro. Lakini sasa, familia…

Read More

Sababu na athari ndoa za siri

Ndoa ni muunganiko rasmi wa watu wawili wanaopendana, kwa lengo la kuishi pamoja kwa upendo, heshima, na mshikamano.  Kikawaida, ndoa hufanyika kwa uwazi na kushuhudiwa na familia, jamii na mamlaka husika kama taasisi za dini au serikali.  Hata hivyo, uzoefu hivi sasa unaonyesha, kuna ongezeko la ndoa zinazofungwa kwa siri, yaani, ndoa ambazo hufanyika kwa…

Read More