
Burkina Faso Yapunguza Sikukuu za Umma Kuokoa Bilioni 17 – Global Publishers
Last updated Sep 14, 2025 Waziri wa Utumishi wa Umma, Mathias Traore OUAGADOUGOU – Serikali ya Burkina Faso imewasilisha muswada wa kupunguza idadi ya sikukuu za kitaifa kutoka 15 hadi 11, hatua inayolenga kuokoa takribani faranga za CFA bilioni 17 kwa mwaka. Kwa mujibu wa Waziri wa Utumishi wa Umma, Mathias…