DKT.NCHIMBI AOMBA WANANCHI HANDENI KUICHAGUA CCM KWA KURA NYINGI ILI ISHINDE KWA KISHINDO UCHAGUZI MKUU.

MGOMBEA Urais mwenza kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel Nchimbi amewaomba wananchi wa Wilaya ya Handeni mkoani Tanga kukipigia kura Chama hicho ili kishinde kwa kura nyingi katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 29,2025. Ametoa ombi hilo alipokuwa akihutubia maelfu ya Wananchi waliofika kumsikiliza,katika uwanja wa Kigoda leo Septemba 15, 2025 wilayani…

Read More

AZZA HILLAL AMUOMBEA KURA AHMED SALUM, DR. SAMIA

Mgombea Ubunge Jimbo la Itwangi Azza Hillal Hamad akizungumza kwenye mkutano wa uzinduzi wa Kampeni za Uchaguzi Jimbo la SolwaMgombea Ubunge Jimbo la Itwangi Azza Hillal Hamad akiomba kura kwa ajili ya Dkt. Samia Suluhu Hassan, Ahmed Salum, Madiwani wa CCM na yeye mwenyewe akizungumza kwenye mkutano wa uzinduzi wa Kampeni za Uchaguzi Jimbo la…

Read More

Kinachomfanya Dk. Samia kuwa mgombea wa kipekee

Na Hafidh Kido KATIKA Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2025, wagombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hadi sasa ni 16 baada ya mgombea wa Chama cha ACT-Wazalendo kuenguliwa ambapo kwa sasa vyama vilivyopo kwenye kampeni ni; CCM, NCCR-Mageuzi, CUF, CHAUMMA,TADEA, TLP, MAKINI, NLD, SAU, DP, UPDP, CCK, AAFP, UMD, UDP na NRA. Chama…

Read More

UN inasikika kengele kama njaa, mapigano na misaada ya wafanyikazi inazidisha shida – maswala ya ulimwengu

Mjumbe maalum wa UN Hans Grundberg aliiambia Baraza la Usalama Siku ya Jumatatu kwamba machafuko huko Yemen hayawezi kuonekana kwa kutengwa. “Yemen ni kioo na ukuzaji wa hali tete ya mkoa,”Yeye Alisemaakigundua kuwa maendeleo kuelekea amani yanazuiliwa na mashindano ya kikanda, mienendo ya mpaka, na mgawanyiko wa ndani. Kuongezeka kwa kutisha katika uhasama Bwana Grundberg…

Read More