Mambo 10 Dabi ya Kariakoo, tatizo ni Diara!

DABI ya kwanza ya Kariakoo msimu huu imemalizika kibabe baada ya Yanga kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Simba, juzi Jumanne. Ushindi huo umeifanya Yanga, kuendeleza ubabe mbele ya Simba, ikishinda mchezo wa sita mfululizo dhidi ya watani wao hao, rekodi ambayo itaendelea kuwafanya Wekundu kuumizwa na maumivu mithili ya kidonda kisichopona. Hata…

Read More

FIFA yaweka mamilioni Simba, Yanga

SIMBA, Yanga, Azam na klabu nyingine chache za Ligi Kuu Tanzania Bara, zitakuwa miongoni wa wanufaika wa kupata fidia ya fedha kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu la Kimataifa (FIFA) kwa kuruhusu wachezaji wao kuzitumikia timu mbalimbali za Taifa katika mechi za kuwania kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2026. Mgawo huo wa fedha ni…

Read More

Folz ashindwe mwenyewe Yanga | Mwanaspoti

VIONGOZI wa Yanga wamefanya kila kitu kuhakikisha timu hiyo inaendelea kuwa na kikosi kizuri chenye uwezo wa kutetea mataji iliyobeba msimu uliopita ikiwamo Ligi Kuu Bara. Yanga ikiwa ndiyo klabu yenye mafanikio zaidi katika Ligi Kuu Bara ikichukua taji hilo mara 31, inaingia msimu huu ikiwa na deni la kutetea ubingwa wake. Katika kutetea ubingwa…

Read More

‘Utawala wa kimabavu hutumia adhabu ya pamoja kukatisha tamaa yoyote kwa mamlaka yake’ – maswala ya ulimwengu

na Civicus Jumatano, Septemba 17, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Civicus anajadili vifo vya wanaharakati wa asili waliofungwa huko Tajikistan na Khursand Khurramov, mwandishi wa habari huru na mchambuzi wa kisiasa. Khursand Khurramov Wanaharakati watano wa asili wa Pamiri wamekufa katika magereza ya Tajikistan mnamo 2025, iliripotiwa baada ya kukataliwa msaada wa kutosha wa…

Read More