Maendeleo dhaifu nchini Syria, katika hatari ya kutengwa na kuingiliwa kwa kigeni, UN inaonya – maswala ya ulimwengu

Walionya kwamba hatua za kijeshi za kigeni, kutengwa kwa kisiasa na rasilimali zinazopungua zinatishia kuondoa faida dhaifu. Mjumbe Maalum wa UN Geir Pedersen – ambaye alitangaza kwamba atakuwa akishuka kutoka kwa jukumu lake wakati wa mkutano – aliwaambia mabalozi kwamba viongozi wa mpito huko Dameski wamerithi “sio tu magofu ya majengo yaliyovunjika, lakini ya Wreckage…

Read More

CCM INAFANYA KAZI KUBWA YA KULETA MAENDELEO, WANANCHI WAENDELEE KUKIAMINI-WASIRA

Na Mwandishi Wetu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesema Chama kinafanya kazi kubwa ya kuleta mabadiliko ili kuwaletea maendeleo wananchi. Aidha, amesisitiza wananchi wandelee kukiamini na kukipa nafasi Chama kiendelee kudumisha amani kwa kuwa maendeleo hayatapatikana iwapo itatoweka. Wasira alieleza hayo alipokuwa akizungumza na viongozi na wanachama wa CCM…

Read More

Njia mbadala, salama za kujenga mwili

Dar es Salaam. Katika jamii ya sasa, hasa miongoni mwa vijana, kujenga mwili limekuwa jambo linalotiliwa mkazo. Watu wengi wanapenda kuwa na miili yenye misuli imara, kifua kipana, mikono minene, na tumbo lililojaa ‘six pack’. Sura ya nje imekuwa kipimo cha kuvutia, kujiamini na hata mafanikio kijamii. Hata hivyo, katika harakati hizi, baadhi ya vijana…

Read More

Kisukari, shinikizo la damu: Magonjwa yanayoua kimyakimya

Dar es Salaam. Ni maadui wawili wakubwa wa uhai wa binadamu. Aghalabu wanakuja kimya kimya bila onyo. Utapata  maumivu ya kichwa utachukulia sawa na  msongo wa mawazo. Uchovu utasema pengine ni kwa sababu ya kufanya kazi sana kila siku.  Ukiwa na jeraha hata dogo litachukua miezi  kupona. Kwa mamilioni ya watu duniani, dalili hizi zinaonekana…

Read More

‘Hakuna Mwisho’ Inatarajiwa Mafuriko na Dhoruba Wakati Inapokanzwa Ulimwenguni Inaendelea – Maswala ya Ulimwenguni

“Hatari zinazohusiana na maji zinaendelea kusababisha uharibifu mkubwa mwaka huu“Alisema Celeste Saulo, WMO Katibu Mkuu. “Mfano wa hivi karibuni ni mafuriko ya monsoon yenye uharibifu nchini Pakistan, mafuriko huko Sudani Kusini na mafuriko ya mauti katika kisiwa cha Indonesia cha Bali. Na kwa bahati mbaya, Hatuoni mwisho wa mwenendo huu. “ Bi Saulo alibaini kuwa…

Read More

Simba yaibeba tena Yanga, yaipa mamilioni

YANGA imeshatua Angola tayari kwa kukutana na Waliete FC, ya huko lakini kabla ya mastaa wa timu hiyo hawajashuka kwenye ‘pipa’ kuna mamilioni wameingiziwa ambayo yanatokana na Simba. Yanga itakuwa uwanjani kesho, kupambana na Waliete ukiwa ni mchezo wa kwanza wa hatua ya awali ya mtoano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na baada ya wiki…

Read More

Saliboko aanza mbwembwe Ligi Kuu Bara

DARUWESH Saliboko wa KMC amekuwa mchezaji wa kwanza msimu huu kufunga bao katika Ligi Kuu Bara msimu wa 2025-2026 alipoiwezesha timu hiyo kuibuka washindi wa bao 1-0 dhidi ya Dodoma Jiji ameanza mbwembwe mapemaa. Mshambuliaji huyo wa zamani wa Polisi Tanzania na Lipuli, alisema ushindi iliyopata KMC ikiwa nyumbani ulikuwa ni mpango wa timu na…

Read More

Gwiji Simba ampa ujanja Yakoub Suleiman

ENDAPO kama kipa wa Simba, Yakoub Suleiman atazingatia ushauri wa mkongwe katika nafasi hiyo, kocha Idd Pazi ‘Father’ basi huenda akairejesha Tanzania One baada ya Aishi Manula kusajiliwa Azam FC. Pazi aliwahi kuwa kipa Tanzania One enzi akiwa Simba alisema, kipa huyo mpya wa Simba aliyetua kutoka JKT Tanzania anatakiwa kuzingatia mazoezi ya timu na …

Read More