Dodoma Jiji na leo tena

WAKATI timu nne kati ya tano zilizokuwa nyumbani zikianza kwa kuvuna pointi zikiwa nyumbani katika raundi ya kwanza ya Ligi Kuu Bara, Dodoma Jiji inarudi uwanjani katika mechi za ligi hiyo ikiwa ugenini kwa mara nyingine dhidi ya Tabora United (TRA United). Mechi hiyo pekee kwa leo inachezwa kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, mjini…

Read More

JKT Tanzania yaipigia hesabu Coastal Union

BAADA ya kuanza msimu mpya wa Ligi Kuu kwa kupata sare ya 1-1 ugenini dhidi ya Mashujaa, maafande wa JKT Tanzania wameanza hesabu mpya za kubeba alama kutoka kwa Wagosi wa Kaya watakaokutana nao keshokutwa Jumatatu jijini Tanga. Kocha wa maafande hao, Ahmad Ally alisema katika soka kuna nyakati za kiuchezaji kulingana na mechi husika…

Read More

Tchakei: Kwa huyu, Chama mtakoma!

KIUNGO mshambuliaji wa Singida Black Stars, Marouf Tchakei amesema usajili wa Clatous Chama ndani ya timu hiyo umeongeza ubora hasa safu ya ushambuliaji, huku akiweka wazi kuwa washambuliaji wa timu hiyo washindwe wenyewe. Tchakei anayeitumikia Ligi Kuu kwa msimu wa tatu baada ya kutua akitokea AS Vita ya DR Congo amekuwa na mwendelezo mzuri ndani…

Read More

Pacome afungua code Yanga, amtaja Mfaransa

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua jioni ya jana alikuwa Angola kucheza mechi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Wiliete Banguela, lakini mapema alitoa kauli ya kibabe kwa timu pinzani zitakazokutana na wababe hao wa Tanzania katika michuano yote. Nyota huyo aliyeifunga Simba kwa mara ya tatu katika mashindano tofauti, alisema kwa…

Read More

Phiri aipa ujanja Simba Afrika

SIMBA imetabiriwa inaweza kufanya vizuri katika Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu, lakini iwapo tu, wachezaji wa timu hiyo watakuwa tayari kupambana kwa jasho na damu wakijengwa na utulivu utayari, uzalendo na kulinda viwango vyao kwa kuzingatia vitu vya msingi. Ujanja huo umetolewa na nyota wa zamani wa kikosi hicho, Mzambia Moses Phiri alipozungumza na…

Read More

DKT.NCHIMBI ATUA RASMI SONGEA KUSAKA KURA ZA CCM

Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dk Emmanuel Nchimbi amewasili Songea, mkoani Ruvuma leo Septemba 19, 2025. Dk Nchimbi ataungana tena na Mgombea urais wa chama hicho, Dkt.Samia Suluhu Hassan anayetarajiwa kuwasili kesho ambapo watakutana mkoa mmoja tangu Agosti 28, mwaka huu walipozindua kampeni za chama hicho…

Read More