Simba, Azam, Singida BS zaweka rekodi ugenini CAF

ILICHOFANYA Yanga jana Ijumaa ikiwa ugenini nchini Angola baada ya kushinda mabao 0-3 dhidi ya Wiliete Benguela, ndicho kilichofanywa na wawakilishi wengine watatu wa Tanzania Bara katika michuano ya CAF, Simba, Azam na Singida Black Stars baada ya zote kupata ushindi leo. Hiyo inaonesha ni mwanzo mzuri wa wawakilishi wetu katika michuano ya kimataifa msimu…

Read More

WASHINDI WAWILI WA MNADA WA PIKU WAKABIDHIWA ZAWADI

:::::::::: JUKWAA la kidijitali la PIKU Afrika, linaloendesha minada ya kipekee kupitia mtandao, limetangaza na kukabidhi zawadi kwa washindi wawili wa awamu ya nne ya promosheni yake ya minada ya kidijitali. Katika hafla hiyo, washindi wawili bora waliibuka na zawadi mbalimbali kama ifuatavyo: Mshindi wa kwanza, Hamimu Madenge, Meneja wa Super Market ya Viva iliyopo…

Read More

TLS yaazimia mambo 10 kumtetea mwenzao, polisi yaonya

Dar/Mikoani. Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), kimeamua mambo 10 ya kutekelezwa na wanachama wake, ikiwamo kutokupokea kesi za msaada wa kisheria kutoka mahakamani hadi hatua za kisheria zitakapochukuliwa dhidi ya waliohusika na shambulio dhidi ya Wakili Deo Mahinyila. Vilevile, TLS kupitia Baraza la Uongozi imetakiwa kupanga na kutangaza siku ya maandamano ya amani ya…

Read More

BULALA AZINDUA KAMPENI ZA UBUNGE JIMBO LA KWIMBA KWA NDEREMO NA VIFIJO VYA KIHISTORIA

Uzinduzi wa kampeni za uchaguzi katika Jimbo la Kwimba zimeacha alama yankudumu baada vya kuzinduliwa kwa nguvu na hamasa kubwa atika Kata ya Hungumalwa, ambapo wananchi zaidi ya 7,000 walihudhuria mkutano wa  Katika uzinduzi huo wa kihistoria, kijana Cosmas Bulala alitambulishwa rasmi kama  kama Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kwimba huku comrade Shija Malando akitambulishwa rasmi kuwa…

Read More

Othman ataja mbinu za kuwawezesha wananchi

Unguja. Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman ameeleza namna Serikali itakayoundwa na chama hicho, itakavyowawezesha Wazanzibari kujikwamua kiuchumi. Amesema ACT-Wazalendo, ina mipango lukuki ya kuwawezesha Wazanzibari ikiwemo kuwasaidia wananchi wenye kipato duni au wasiokuwa na njia ya kujipatia kipato. “Hawa ndio wale waliokuwa wamekaa tu au kugalagala bila…

Read More

Simba kuna sapraizi | Mwanaspoti

UKIWEKA kando kile kilichotokea usiku wa jana pale kwenye Dimba la Obed Itani Chilume lililopo Francistown, Botswana, Simba imewaandalia sapraizi mashabiki wake jijini Dar es Salaam ikiwa ni kuwafuta machozi baada ya kupigwa katika Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga. Sapraizi hiyo ni katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya awali…

Read More