MASHIMBA AZINDUA KAMPENI KWA KISHINDO KATA YA MABWEPANDE

Mgombea udiwani wa Kata ya Mabwepande kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Andrew Mashimba, leo amezindua rasmi kampeni zake kwa kufanya mkutano wa hadhara uliofanyika katika Mtaa wa Mabwepande. Katika mkutano huo, Mashimba alinadi sera na Ilani ya CCM, huku akieleza sababu zinazopaswa kuwashawishi wananchi wa Mabwepande kuendelea kuiamini CCM kuanzia ngazi ya urais, ubunge…

Read More

EY Tanzania Ripoti ya Sekta ndogo ya Benki nchini

Mhadhiri wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), Prof. Josephat Lotto akizindua Ripoti ya Sekta ndogo ya Benki “EY Tanzania Banking Sub-Sector Report 2024,” iliyoandaliwa na Kampuni ya Ukaguzi wa Hesabu ya EY Tanzania inayochambua utendaji wa benki nchini kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita. Ripoti hii pia inaangazia mabadiliko muhimu ya kisheria na kimkakati…

Read More

Heshima uliyonipa ni ya Wanaruvuma Wote – Global Publishers

  MGOMBEA Mwenza wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, amesema katika mikoa 11 ambayo tayari amefanya mikutano ya kampeni wananchi wameshasema kwamba  watampigia kura za kishindo Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama hicho, Rais Dk. Samia Suluhu Hassan katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29,2025. Dk.Nchimbi ameyasema hayo leo Septemba…

Read More

Jaji mstaafu, mawakili walinyooshea kidole Jeshi la Polisi

Dar es Salaam. Siku chache baada ya Jaji mstaafu wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Robert Makaramba kukosoa kitendo cha askari wa Jeshi la Polisi kumshambulia wakili Deogratius Mahinyila katika Mahakama Kuu ya Tanzania, mawakili wameeleza kwamba kitendo hicho ni kuingilia uhuru wa Mahakama. Katika tukio hilo la Septemba 15, 2025 wakati kesi ya Mwenyekiti wa…

Read More