
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Septemba 21, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
YANGA imeanza kwa kishindo msimu mpya wa Ligi ya Mabingwa Afrika ikiichapa Wiliete ya Angola kwa mabao 3-0, ikiwa kama imetanguliza mguu mmoja kufuzu hatua inayofuata ya mchujo. Yanga imewahi kuzing’oa timu mbalimbali za Angola, lakini ushindi huo uliopatikana kwenye Uwanja wa Novemba 11, Luanda unavunja unyonge wa mabingwa hao wa Tanzania kushinda ndani ya…
BAADA ya kupoteza mbele ya Yanga katika mechi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya awali, Kocha wa Wiliete Benguela ya Angola, Bruno Ferry, amekubali ubora wa mastaa wa wapinzani hao, huku Mohamed Doumbia akimshtua. Bruno raia wa Ufaransa ambaye aliwahi kuifundisha Azam akiwa kocha msaidizi, sasa ni kocha mkuu wa kikosi cha…
MSHAMBULIAJI wa Namungo, Abdulaziz Shahame ‘Haaland’ amesema licha ya timu hiyo kuanza Ligi Kuu Bara kwa sare nyumbani, lakini amefurahia kufunga bao lake la kwanza akiwa na kikosi hicho, kwani litamuongezea morali ya kuzidi kupambania nafasi. Nyota huyo aliifungia bao Namungo dakika ya 90+4, katika mechi ya kwanza ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Pamba…
WAKATI kikosi cha Yanga alfajiri ya leo Jumapili kikiingia Dar es Salaam kikitoka Angola, kuna kitu ambacho kocha wa timu hiyo, Romain Folz anatamba nacho huku mwenyewe anasema bado yupo katika kuijenga timu imara msimu huu. Wakati Folz akiyasema hayo, kuna siri imefichuka huku Yanga ikiwa tayari imefanya mambo makubwa katika mechi mbili za kimashindano,…
………………… Onesho liitwalo ‘I Love Sushi’ lililoandaliwa na Ubalozi wa Japan nchini kwenye Makumbusho ya Taifa la Tanzania katika Kituo cha Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni jijini Dar es Salaam limezinduliwa na Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, Waziri wa Maliasili na Utalii, leo tarehe 19 Septemba 2025. Onesho hilo limelenga kuonesha ustadi wa safari ya…
Last updated Sep 20, 2025 Serikali mkoani Mbeya imeelekeza Jeshi la Polisi kufanya kazi usiku na mchana ili wahusika wa mauaji ya Shyrose Mahande, mwanafunzi wa mwaka wa kwanza Chuo Kikuu cha Mzumbe Ndaki ya Mbeya, wapatikane na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria. Akizungumza kwa niaba ya Serikali ya Mkoa wa…
Last updated Sep 20, 2025 Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Kisiwani Pemba, katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu za CCM, katika Viwanja vya Gombani ya Kale, Wilaya ya Chake Chake…
Last updated Sep 20, 2025 MITANDAO ya kijamii imerahisisha sana mambo. Wapo wanaoitumia vizuri na kuweza kufanikisha mambo mbalimbali ikiwemo biashara na fursa mbalimbali ikiwemo ajira na mambo mengine kadha wa kadha. Katika ulimwengu wa wapendanao, wapo pia wanaoitumia vizuri na kujikuta wakifikia hatua ya kufunga ndoa. Urafiki unaanzia kwenye mitandao ya kijamii, unakua…