Mahakama Kuu kuamua hatima ya Tundu Lissu, leo

Dar es Salaam. Mahakama Kuu, Masjala Ndogo Dar es Salaam, leo Jumatatu Septemba 22, 2025, inatarajia kutoa uamuzi katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema taifa, Tundu Lissu. Hatua hiyo inatokana na pingamizi lililowasilishwa na mshtakiwa huyo mahakama hapo Septemba 16, 2025 la kudai kuwa hati ya mashtaka ni batili kutokana na kukiuka masharti…

Read More

Sababu ya Yusuph Athuman kusaini Zambia

MSHAMBULIAJI wa Kitanzania, Yusuph Athuman hivi karibuni alitambulishwa kikosi cha Napsa Stars inayoshiriki Ligi Kuu Zambia na meneja wa mchezaji huyo akafichua jambo kuhusu usajili huo. Kabla ya kutimkia Zambia msimu uliopita alisajiliwa na Yangon United inayoshiriki Ligi Kuu Myanmar kabla ya kurejea Tanzania na kumaliza mkataba wake na Fountain Gate ambako huko kote hakucheza….

Read More

Mbongo afichua mambo mawili Marekani

KINDA la Kitanzania anayekipiga SCCC FC Ligi ya Vijana Marekani, Lohanga Malenga amesema ni fursa kwake kupata mafunzo ya kitaaluma huku akiendelea kupata ujuzi wa soka. Kiungo huyo ambaye ni mchezaji wa timu ya taifa chini ya miaka 19, alijiunga na timu hiyo akitokea akademi ya Villareal na alitwaa ubingwa wa Tri-State Cup mara mbili…

Read More

‘Ulimwengu wa Vita Kulia kwa Amani’ anasema mkuu wa UN kama viongozi wanavyokusanyika New York – Masuala ya Ulimwenguni

“Maisha yanavutwa kando, utoto umezimwa, na hadhi ya msingi ya kibinadamu imetupwa, huku kukiwa na ukatili na uharibifu wa vita,“Bwana Guterres alisema katika ujumbe wa siku hiyo.”Wanachotaka ni amani.“ Alisisitiza kwamba mzozo leo haujafungwa kwenye uwanja wa vita, na athari zake zinazunguka mipaka, na kuhamishwa, umaskini na kutokuwa na utulivu. “Lazima tunyamaze bunduki. Kumaliza mateso….

Read More