Klabu ya Simba SC imefanya uteuzi rasmi wa kocha Hemed Suleiman ‘Morocco’ kuwa kocha mkuu wa muda wa timu hiyo. Hemed Morocco, ambaye pia ni kocha wa timu ya taifa ya Tanzania, atachukua jukumu hili hadi klabu itakapompata kocha mpya wa kudumu. Uteuzi huu unalenga kuimarisha maandalizi ya timu katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League).
Related