
Rais Mstaafu Dkt. Kikwete Akibadilishana Mawazo na Bill Gates Usiku Kuamkia Leo
RAIS Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akibadilishana mawazo na Bill Gates usiku kuamkia leo Septemba 24, 2025 ambapo ameshiriki katika hafla ya “Goalkeepers” Jijini New York Marekani, iliyoandaliwa na Taasisi ya Bill Gates na kukutana na wadau mbalimbali. Hafla hiyo ambayo ilihusu masuala ya afya ya watoto chini ya miaka mitano, ilikutanisha watu mashuhuri kutoka…