September 24, 2025
Kuokoa bahari – tenda sasa! – Maswala ya ulimwengu
Ni wakati wa kuangaza uangalizi juu ya mataifa madogo ya kisiwa katika sehemu tofauti za ulimwengu, anasema James Alix Michel, Jamhuri ya Rais wa zamani wa Seychelles. na James Alix Michel (Victoria) Jumatano, Septemba 24, 2025 Huduma ya waandishi wa habari James Alix Michel, rais wa zamani wa Jamhuri ya Seychelles, anasema kwamba ufunguo wa…
NSSF YAPIGA HATUA KUBWA YA MAFANIKIO, YAFIKIA THAMANI YA TRILIONI 9.9
*Mhe. Mary Maganga aimwagia sifa, Mkurugenzi Mkuu NSSF atoa siri ya mafanikio Na MWANDISHI WETU, Kigoma. Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umepongezwa kwa mafanikio makubwa ya utendaji yaliyopatikana katika mwaka wa fedha 2024/25 kwa kufikisha thamani ya shilingi trilioni 9.9 kutoka trilioni 8.3 mwaka wa fedha 2023/24. Pongezi hizo zimetolewa tarehe 24…
DK.SAMIA AMWAGIA SIFA WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AKIOMBA KURA RUANGWA
*Amshukuru kwa ushirikiano, kujituma,uzalendo wake kwa wakati wote wakifanyakazi pamoja. *Azungumzia pia maendeleo yaliyopatikana Ruangwa katika miaka mitano iliyopita Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Ruangwa MGONBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amewashukuru wananchi wa Jimbo la Ruangwa mkoani Lindi kwa kumchagua Kassim Majaliwa kuwa mbunge wao kwa kipindi cha miaka 15. Akizungumza…
DKT.SAMIA AWAPONGEZA RUANGWA KWA KUWA NA UWANJA WA KISASA WA MAJALIWA
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Lindi MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amewapongeza wananchi wa Wilaya ya Ruangwa wakiongozwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kwa kuwa na Uwanja wa mpira mkubwa na wa kisasa. Dk.Samia ametoa pongezi hizo leo Septemba 24,2025 alipokuwa katika mkutano wa kampeni uliofanyika Uwanja wa Madini wilayani Lindi ambapo…
Ibenge aanza ligi na ushindi Azam ikiichapa Mbeya City
AZAM FC imeutumia vizuri uwanja wake wa nyumbani wa Azam Complex kuibuka na ushindi wa mabao 2-0. Huo ulikuwa mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu Bara msimu huu kwa timu hiyo inayonolewa na Florent Ibenge. Ibenge ambaye hii ni mara ya kwanza kufundisha timu ya Tanzania, ameshuhudia vijana wake wakimkaribisha vizuri kupitia mabao ya Nassro…
TAASISI ZA ELIMU MKOANI GEITA ZATAKIWA KUANZISHA PROGRAMU YA MAZIWA SHULENI
::::::::: Mkuu wa Wilaya ya Geita Mhe. Hashim Komba amezitaka taasisi za elimu Mkoani Geita kuanzisha programu maalumu ya utoaji maziwa katika taasisi hizo kama ilivyo programu ya lishe shuleni ili kuongeza kasi ya unywaji wa maziwa. Ametoa maagizo hayo leo Septemba 24, 2025 wakati akitoa hotuba ya kuhitimisha Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya…
SERIKALI YAONDOA VAT KWA VITUO VYA GESI ASILIA ILIYOSHINDILIWA (CNG)
::::: Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mha. Felchesmi Mramba amesema Serikali imeondoa kodi ya ongezeko la thamani (VAT) kwa vituo vyote vya Gesi iliyoshindiliwa (CNG) nchini ili kuhamasisha matumizi ya gesi asilia kwenye vyombo vya moto kupitia uwepo wa vituo vingi vya kutoa huduma hiyo kwa wananchi. Amesema kuwa Serikali pia imeondoa kodi kwenye…
Eneo korofi la ‘Kwa Kichwa’ Zingiziwa lakumbukwa
Dar es Salaam. Eneo korofi maarufu ‘Kwa Kichwa’ lililopo Kata ya Zingiziwa, Mtaa wa Ngobedi, Wilaya ya Ilala, limeanza kutengenezwa baada ya muda mrefu kuwa kero kwa wakazi, hasa msimu wa mvua. Kwa muda mrefu eneo hilo limekuwa likijaa maji na kuathiri shughuli za kiuchumi na kijamii, huku wakazi wakishindwa kuvuka na kulazimika kulipa kati…
Dkt. Nchimbi Alivyohitimisha Kampeni Zake Mkoa wa Njombe – Global Publishers
Matukio mbalimbali katika picha za mkutano wa hadhara wa kampeni wa Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dk Emmanuel Nchimbi uliofanyika mjini Makambako, mkoani Njombe alipokuwa akihitimisha mikutano yake kampeni mkoani humo leo Septemba 24, 2025. Mara baada ya kuwahutubia Wanachi katika mkutano huo,Dkt.Nchimbi pia alitumia nafasi…