September 25, 2025
GCAP YAISHAURI SERIKALI KUCHUKUA HATUA MADHUBUTI KUTEKELEZA SDGS
:::::::::: Na Mwandishi Wetu – Dar es Salaam Mtandao wa GCAP Tanzania umetoa wito kwa Serikali, asasi za kiraia, sekta binafsi na mashirika ya kimataifa kuchukua hatua madhubuti na jumuishi kutekeleza Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs) kwa vitendo. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, mjumbe wa GCAP kutoka shirika la Dayspring Foundation,…
Overdose ya upya, hatari mpya ya nishati nchini Brazil – maswala ya ulimwengu
Ugumu wa mfumo wa umeme wa Brazil umeibuka kutoka kwa mfano kulingana na umeme wa umeme unaosaidiwa na thermoelectricity kwa mchanganyiko wa vyanzo tofauti, bila kupanga na kwa udhibiti mdogo, ambao kizazi cha kupita kiasi kinatishia kusababisha kuzima. Mikopo: Mario Osava / IPS na Mario Osava (Rio de Janeiro) Alhamisi, Septemba 25, 2025 Huduma ya…
Askofu Mkuu Rugambwa anavyokumbukwa Vatican
Dar es Salaam. Kardinali Pietro Parolin, Katibu wa Vatican, ameongoza misa ya kumuombea na kumuaga, Askofu Mkuu Novatus Rugambwa, katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Petro mjini Vatican. Kwa mujibu wa mtandao wa habari wa Vatican, vilevile walikuwapo Askofu Mkuu Msaidizi wa Vatican, Edigar Pena Para, maaskofu wakuu, maaskofu na mapadri katika misa hiyo iliyoadhimishwa leo…
Kamisheni Bonde la Ziwa Victoria kupata ofisi zake
Musoma. Kamisheni ya Bonde la Ziwa Victoria (LVBC), inatarajia kutumia zaidi ya Sh13 bilioni kwenye ujenzi wa jengo la ofisi zake. Hata hivyo, tayari mradi wa ujenzi huo kwa sasa umeshafikia asilimia 99 za utekelezaji wake. Jengo hilo linalojengwa Mjini Kisumu nchini Kenya, litazinduliwa hivi karibuni na marais wa nchi nane za Jumuiya ya Afrika…
Serikali yaonya utupaji wa plastiki baharini
Dar es Salaam. Katika kuadhimisha Siku ya Usafiri wa Majini Duniani, Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limetawaka wananchi kupunguza uchafuzi wa plastiki katika bahari na kulinda rasilimali hiyo kwa vizazi vijavyo. Takwimu za Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshuhulikia Mazingira (UNEP), linaonyesha kila mwaka tani milioni 19 hadi 20 za plastiki zinatekezwa baharini,…
Mgombea urais Makini aahidi chakula bure kwa wanafunzi
Mbeya. Mgombea urais wa chama cha Demokrasia Makini (Makini), Coaster Kibonde amesema akipata nafasi ya kuongoza nchi, serikali yake itatoa chakula bure kwa wanafunzi wote nchini na kuifuta Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB). Amesema anahitaji kuona mabadiliko katika sekta ya elimu kwa kujenga nchi iliyo na wasomi na wajuzi wenye kujiajiri, kuajiri…
Samia ahitimisha kampeni Lindi akiwahakikishia mradi wa gesi asilia
Lindi. Mgombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Samia Suluhu Hassan amehitimisha kampeni zake za siku mbili mkoani Lindi, akiwaahidi wakazi wa mkoa huo kuanza kwa utekelezaji wa mradi wa gesi asilia. Mkoa huo unakuwa wa 15 kwa mgombea huyo kupitia akinadi ilani ya CCM na kuomba ridhaa ya urais kwa miaka mitano…
Dk Tulia aahidi miradi ya kipaumbele Uyole
Mbeya. Mgombea ubunge wa Uyole, Dk Tulia Ackson ameahidi kuchimba visima vikubwa katika kata ya Itezi ili kumaliza adha ya maji kwa wananchi wake ikiwa ni miongoni mwa vipaumbele vyake katika jimbo hilo. Vipaumbele vingine alivyojiwekea Dk Tulia ni pamoja na kuimarisha miundombinu ya barabara na kusimamia utoaji mikopo ya asilimia 10 kwa wanawake, vijana…
DC KYOBYA AAINISHA VYANZO VYA KODI KILOMBERO
::::::: Kilombero Mkuu wa wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro Mh. Dunstan Kyobya amesema wilaya anayoiongoza ina vyanzo vingi vya mapato ambavyo vimekuwa vikichangia makusanyo ya Kodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa maendeleo ya Taifa. Ameyasema hayo leo tarehe 25.09.2025 wilayani Kilombero alipotembelewa na maofisa wa TRA wanaoendesha zoezi la kutoa elimu ya Kodi…