KAMPENI ZA MGOMBEA URAIS DK.SAMIA ZILIVYOMRUDISHA HARMONIZE KWA DIAMOND AKIIMBA NAMLETA RAIS…

Na Said Mwishehe,Michuzi TV -Ruangwa MWANAMUZIKI maarufu katika muziki wa kizazi kipya a.k.a Bongo Fleva Rajabu Ibrahim maarufu Harmonize leo amewapagawisha wana CCM na wananchi wa Ruangwa mkoani Lindi baada ya kuimba Wimbo wa Namleta Rais ambao ni wa Msanii Nassib Abdull ‘Diamond’ Kwa muda mrefu Harmonize tangu alivyoondoka Lebo ya WCB ya Wasaf inayomilikiwa…

Read More

Walinzi wanahitajika haraka kwa AI kwenye uwanja wa vita, anaonya Guterres – maswala ya ulimwengu

© Unsplash/Igor Omilaev Baraza la Usalama la UN linakutana kujadili athari za akili bandia juu ya amani na usalama wa kimataifa. Jumatano, Septemba 24, 2025 Habari za UN Wanadamu hawawezi kuruhusu roboti za muuaji na silaha zingine zinazoendeshwa na AI kuchukua udhibiti wa vita, Katibu Mkuu wa UN aliwaambia mabalozi katika Baraza la Usalama. “Ubunifu…

Read More

NCCR-Magezi yaahidi kutumbua mafisadi kikipewa ridhaa

Kibaha. Mgombea urais kupitia Chama cha NCCR-Magezi, Haji Khamis ameahidi kusimamia maadili ya uongozi na kuwawajibisha viongozi watakaobainika kutumia ofisi za umma kwa manufaa binafsi, endapo atachaguliwa katika uchaguzi mkuu ujao. Akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika Jumatano Septemba 24, 2025 mjini Kibaha, Khamis amesema moja ya changamoto kubwa nchini ni viongozi wa ngazi za utekelezaji…

Read More

Hukumu rufaa kesi ya Nyundo na wenzake kusomwa leo

‎Dodoma. Hukumu ya kesi ya rufaa waliyoikata Nyundo na wenzake watatu ya kupinga kifungo cha maisha gerezani inatarajiwa kutolewa kesho Septemba 25, 2025 kwenye Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma. ‎Nyundo na wenzake watatu walihukumiwa kifungo cha maisha gerezani baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma kuwakuta na hatia kwenye mashtaka yaliyokuwa yanawakabili ya kubaka kwa…

Read More

Mwaka 2025 na sura halisi ya mwanawake na uongozi kisiasa

Dar es Salaam. Uchaguzi Mkuu wa Tanzania mwaka huu umeweka rekodi mpya kwa namna wanawake walivyojitokeza kuwania nafasi za juu za uongozi. Historia hii mpya imeandikwa kutokana na ongezeko la wagombea wanawake wanaowania nafasi mbalimbali zikiwamo za urais sambamba na wagombea wenza. Hatua hii inaonesha mafanikio ya mapambano ya usawa wa kijinsia, demokrasia na mustakabali…

Read More