USANIFU WA BARABARA HUFANYIKA KABLA YA UJENZI

::::::: Imeelezwa kwamba Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) hufanya usanifu wa kina wa barabara kabla ya ujenzi kuanza kutekelezwa. Hayo yamebainishwa na Mhandisi wa miradi kutoka TARURA Faizer Mbange wakati akitoa elimu kwa umma kwa wananchi waliofika kwenye Maonesho ya Nane ya Madini Mkoani Geita. Amesema kwamba  barabara nyingi nchini zinazosimamiwa na…

Read More

DC MAYANJA:TANZANIA ITAJENGWA NA WATANZANIA WENYEWE

  Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Mhe. Janeth Mayanja,akizungumza leo Septemba  26.09.2025 na timu ya maafisa kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) walipofika ofisini kwake kwa ajili ya kujitambulisha na kumtaarifu juu ya zoezi la kampeni ya elimu ya kodi mlango mlango wilayani humo. Na.Yahya Saleh-Chamwino “Hatuna nchi nyingine zaidi ya Jamhuri ya Muungano wa…

Read More

Ahadi tata za wagombea zawaibua wasomi

Dar es Salaam. Wakati kampeni za vyama vya siasa zikizidi kupamba moto nchini kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025, wasomi wamebaini pengo kati ya ahadi zinazotolewa na baadhi ya wagombea na uwezekano wa kutekelezeka. Pengo hilo limewafanya wanataaluma hao kuona haja ya kufanya mdahalo  Septemba 28, 2025 jijini Dar es Salaam utakaovikutanisha vyama vya siasa,…

Read More

NIT yaonesha ubunifu wa wanafunzi kwenye Maonesho ya Wahandisi

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV Dar es Salaam, Septemba 26, 2025 – Chuo Cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kimeshiriki katika Maonesho ya 22 ya Wahandisi yanayoendelea katika viwanja vya Mlimani City, ambapo wanafunzi wake wametumia fursa hiyo kuonesha ubunifu wao kwa wananchi. Akizungumza katika maonesho hayo, mwanafunzi wa shahada ya Uhandisi wa Umeme, Mohamed Chipokoso,…

Read More