Jumapili ya Balaa La Ulaya Na Faida Za Kifalme

MASHABIKI wa soka wanapata burudani ya kipekee leo, huku miamba wa Ulaya wakipambana vikali kusaka pointi muhimu. Kwa wapenzi wa kubashiri, Meridianbet imeweka odds za kuvutia na machaguo mengi ya kukupa faida ya haraka. Aston Villa wanawakaribisha Fulham mchana huu. Villa bado hawajapata ushindi msimu huu, lakini wanapambana kwa nguvu kurekebisha hali. Fulham wana safu…

Read More

Jumapili ya Balaa La Ulaya Na Faida Za Kifalme

MASHABIKI wa soka wanapata burudani ya kipekee leo, huku miamba wa Ulaya wakipambana vikali kusaka pointi muhimu. Kwa wapenzi wa kubashiri, Meridianbet imeweka odds za kuvutia na machaguo mengi ya kukupa faida ya haraka. Aston Villa wanawakaribisha Fulham mchana huu. Villa bado hawajapata ushindi msimu huu, lakini wanapambana kwa nguvu kurekebisha hali. Fulham wana safu…

Read More

NENO KWA NENO ALIYOYASEMA JAKAYA KIKWETE MBELE YA DK.SAMIA AKIMUOMBEA KURA

*Amhakikishia  mgombea Urais Pwani watamchagua kwa kura nyingi za kihistoria *Asema hawapo tayari  kuchanganya pumba na mchele…kwani hawafanyi biashara hiyo Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Pwani. RAIS Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne Dk.Jakaya Kikwete amewaomba wananchi wa Mkoa wa Pwani na Watanzania kwa ujumla kumpigia kura ya ndio mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM)Rais Dk.Samia…

Read More

SERIKALI YAHIMIZA TAASISI ZA KULEA YATIMA KULINDA IMANI YA WAHISANI

 Na Albert Kawogo,Bagamoyo  SERIKALI imezitaka taasisi zinazosimamia malezi ya watoto yatima na wale wanaoshi katika mazingira magumu kusimamia miongozo,taratibu na sheria katika matumizi ya misaada mbalimbali wanayopewa ili kujenga imani ya wahisani wanaotoa misaada hiyo   Wito huo umetolewa hivi karibuni  na Afisa Ustawi wa Jamii wa Wilaya ya Bagamoyo Abuu Yasin wakati wa sherehe…

Read More