Bandari ya Dar itakavyokabili ongezeko la mizigo mwisho wa mwaka

Dar es Salaam. Kadri msimu wa kilele cha usafirishaji wa mwisho wa mwaka unavyokaribia, wadau wa bandari wanaongeza kasi ya maandalizi kushughulikia kile kinachotarajiwa kwenye msimu wenye shughuli nyingi za mizigo bandarini. Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), kwa kushirikiana na waendeshaji binafsi, imetangaza hatua kadhaa za kimkakati zinazolenga kuongeza ufanisi, kupunguza muda wa…

Read More

Wananchi wa Ubungo wameridhika, wapo tayari kuichagua CCM

………………. Na: Mwandishi Wetu, Ubungo Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Taifa, Mary Chatanda amesema wananchi wa Jimbo la Ubungo Jijini Dar es Salaam wamemuhakikishia kuwa Oktoba 29, 2025, watachagua wagombea wote watokanao na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwani wameridhika na utekelezaji wa Ilani Jimboni hapo. Chatanda ameyasema hayo Septemba 29, 2025 , katika…

Read More

‘Harakati ya Haki za Binadamu ya Korea Kaskazini inakabiliwa na shida kubwa tangu ilipoanza miaka ya 1990’ – maswala ya ulimwengu

na Civicus Jumatatu, Septemba 29, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Civicus anajadili nafasi ya Civic ya Korea Kaskazini na Hanna Song, mkurugenzi mtendaji wa Kituo cha Hifadhidata ya Haki za Binadamu za Korea Kaskazini (NKDB). Imewekwa katika Seoul, Korea Kusini, NKDB hati za ukiukwaji wa haki za binadamu huko Korea Kaskazini kupitia ushuhuda kutoka…

Read More

Malindi kurejea Unguja na pointi tatu za Chipukizi

TIMU ya Malindi kutoka Unguja, imefanikiwa kuvuna alama tatu kwa kuifunga Chipukizi bao 1-0 katika mechi ya Ligi Kuu Zanzibar iliyochezwa Septemba 27, 2025 kwenye Uwanja Gombani uliopo kisiwani Pemba. Bao hilo lilifungwa na Tchakei Moucheri dakika 15 akimalizia pasi ya Ramadhan Mponda ambapo lilidumu hadi timu hizo zinakwenda mapumziko. Kipindi cha pili kilianza kwa…

Read More

New King yakaribishwa Ligi Kuu Zanzibar kwa kipigo

WAGENI katika Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), New King wamekaribishwa na kipigo cha mabao 3-1 kutoka kwa Mwembe Makumbi katika mwendelezo wa ligi hiyo, mechi ikichezwa leo Septemba 29, 2025 kwenye Uwanja wa Mao A uliopo Unguja. Said Suleiman aliitanguliza New King kwa bao la mapema dakika ya 17 huku Yakoub Mohamed akiisawazisha Mwembe Makumbo dakika…

Read More

Mahakama yakataa zuio kesi ya Mpina, yaruhusu mubashara

Dodoma. Mahakama Kuu Masjala Kuu ya Dodoma imekataa ombi la mwanachama wa Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Wazalendo), Luhaga Mpina, la kuzuia uchapishaji wa fomu za kupigia kura kwa nafasi ya urais. Mpina ametoa ombi hilo leo, Septemba 29, 2025, kupitia jopo la mawakili wake katika shauri lake la kikatiba la kupinga kuenguliwa…

Read More

KUTOKA NDANI YA JIMBO LA KIBAMBA JIONI YA LEO.

Picha mbalimbali za matukio ya Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel John Nchimbi kwenye mkutano wake wa hadhara uliofanyika leo Septemba 29,2025 katika viwanja vya Malamba Mawili,Jimbo la Kibamba wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam.  

Read More