Kocha JKT ampa Bajana maua yake

KOCHA Mkuu wa JKT Tanzania, Ahmad Ally amesema ongezeko la kiungo mshambuliaji Sospeter Bajana litainufaisha timu hiyo kutokana na kipaji na uwezo alionao. Ahmad alisema anaufahamu uwezo wa Bajana kwani aliwahi kufanya naye kazi walipokuwa KMC na ni miongoni mwa vipaji vikubwa nchini, hivyo anatarajia ataongeza ushindani wa namba kikosini. Bajana amejiunga na JKT Tanzania…

Read More

Wikendi ya Kutusua na Meridianbet Hapa

NI Jumamosi nyingine kabisa ya wewe mteja wa Meridianbet kupiga pesa nyingi kabisa kwani mechi za kubashiri zipo nyingi Duniani kote. Kuna mechi za kufuzu Kombe la Dunia kuanzia Africa mpaka kule Ulaya. Ingia kwenye akaunti yako na ubeti sasa. LEAGUE ONE kule Uingereza leo hii kuna mechi zinazoendelea Wycombe Wanderers atakipiga dhidi ya Mansfield…

Read More

Meridian Bonanza, Mapinduzi ya Kubashiri Yaliyojaa Ushindi na Mbinu

KATIKA mazingira ya kasino mtandaoni yanayozidi kuwa ya ushindani, Meridianbet imezindua Meridian Bonanza, mchezo wa kipekee unaovunja mipaka ya kawaida ya kubashiri. Huu si tu mchezo wa kubahatisha, bali ni jukwaa la mikakati, msisimko, na nafasi halisi ya kujikusanyia ushindi mkubwa kwa kila mzunguko. Tofauti na michezo ya kawaida ya kasino, Meridian Bonanza inajivunia muundo…

Read More

Haaland aipeleka Namungo fainali Tanzanite Pre-Season International

MABAO mawili yaliyofungwa na mshambuliaji wa Namungo, Abdulaziz Shahame ‘Haaland’ katika kila kipindi, yameifanya timu hiyo kufuzu fainali ya mashindano ya Tanzanite Pre-Season International. Namungo imeiondosha Tabora United kwa kichapo cha mabao 2-1, katika mchezo wa nusu fainali ya mashindano hayo uliochezwa leo Septemba 6, 2025 kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa uliopo Babati mkoani Manyara….

Read More