DOTTO NDUMBIKWA AAHIDI KUCHANGIA MADAWATI 50, MAGODORO 20 NA MBAO SHULE YA MSINGI MAZINYUNGU.

Farida Mangube, Kilosa MDAU wa Maendeleo Wilayani Kilosa Ndugu Dotto Ndumbikwa ameahidi kuchangia Madawati Hamsini (50), Magodoro Ishirini (20), Pamoja na Mbao katika Ujenzi wa Shule ya Msingi Mazinyungu Wilayani Kilosa. Ndugu Dotto ametoa ahadi hiyo wakati akijibu Risala ya Wanafunzi iliyoelezea baadhi ya Changamoto Shuleni hapo katika Mahafali ya kumaliza Elimu ya Msingi kwa…

Read More

Tanzania yapiga hatua kupitia Dira 2025, wadau wasisitiza kilimo cha umwagiliaji kuelekea Dira 2050

Wadau wa maendeleo, wasomi na wataalamu kutoka sekta binafsi na umma wamepongeza hatua kubwa zilizopatikana kupitia utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025, wakibainisha kuwa licha ya changamoto za kiuchumi za kimataifa, Tanzania imeweza kudumisha misingi ya maendeleo. Hata hivyo, walionya kuwa sekta ya kilimo bado ni dhaifu kutokana na utegemezi wa mvua na…

Read More

NMB Yakutana na Wafanyabiashara Tabora

Benki ya NMB imefanya kongamano maalum na wafanyabiashara wa mkoa wa Tabora, likilenga kujadili fursa za kifedha na huduma mbalimbali zinazotolewa na benki hiyo. Meneja Mwandamizi wa Idara ya Biashara wa NMB, Dickson Richard, akizungumza katika kongamano hilo lililofanyika katika Halmashauri ya Manispaa ya Tabora, amesema benki imejipanga kuendelea kushiri. kiana kwa karibu na wafanyabiashara…

Read More

Mpina hajapoa, awaburuza kortini Msajili, AG

Dodoma. Kuna usemi usemao haijaisha mpaka iishe, ndio unaweza kuutumia kuelezea harakati za Luhaga Mpina kuendelea kupigania haki yake ya kuteuliwa na Tume Huru ya Uchaguzi (INEC) kuwania urais kwa tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo. Kinachoendelea kwa sasa baina ya Mpina na INEC ni kama filamu ambayo kila mdau wa siasa na wananchi kwa…

Read More