Georges Bussungu wa Tadea na U-tano za ukombozi Tanzania

Februari 5, 1967, Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere akiwa mkoani Arusha, alilitangaza rasmi Azimio la Arusha. Watanzania mikoa yote walijitokea kuunga mkono kwa namna mbalimbali. Sehemu nyingi njia iliyotumika ilikuwa ya matembezi ya mshikamano. Umbali kutoka Kijiji cha Mwanhala hadi Nzega Mjini (wilayani) ni kilometa 24. Wanakijiji wa Mwanhala walitembea wakiwa kundi kubwa hadi…

Read More

TRA Geita yavuka lengo la makusanyo, ikiwageukia wafanyabiashara wasio rasmi

Geita/Dodoma. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani Geita imekusanya Sh69.2 bilioni kwa mwaka wa fedha 2024/25, sawa na asilimia 113 ya lengo la Sh61.7 bilioni ililopaswa kukusanya. Sambamba na mafanikio hayo, mamlaka hiyo imetangaza mkakati mpya wa kuwashirikisha wafanyabiashara wadogo na wale wa sekta isiyo rasmi kupitia dawati maalumu la uwezeshaji biashara, ili kuwawezesha kurasimisha…

Read More

ZEXZY NA WIMBO WAKE MPYA HIGHER WAZIDI KUPENYA

Msanii Zexzy, anayefahamika kwa sauti yake ya kipekee na mitindo yake ya muziki inayogusa hisia, amerudi tena na kazi mpya inayotikisa anga la muziki. Kupitia wimbo wake wa hivi karibuni unaoitwa “Higher”, Zexzy ameonyesha ukuaji mkubwa wa kisanii na uwezo wa kipekee wa kuunganisha mashabiki kupitia ujumbe na mdundo wenye nguvu. “Higher” ni wimbo unaobeba…

Read More

Jamhuri ilivyojibu mapigo pingamizi la Lissu kesi ya uhaini

Dar es Salaam. Upande wa Jamhuri katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, umeiomba Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, kutupilia mbali pingamizi aliloweka mshtakiwa kuhusu hati ya mashtaka kwa madai kuwa hakuonyesha ni wapi hasa kwenye kasoro. Maombi hayo yamewasilishwa leo, Alhamisi Septemba 18,…

Read More

BARAZA LA USHAURI KWA WATU WENYE ULEMAVU LAPONGEZWA

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Bi. Mary Maganga amelipongeza Baraza la Ushauri la Taifa kwa Watu wenye Ulemavu kwa mchango mkubwa walioutoa katika kuimarisha haki na ustawi kwa Watu Wenye Ulemavu nchini. Amesema juhudi hizo zimekuwa chachu ya mafanikio katika kuendeleza ajenda ya usawa, ushirikishwaji na ulinzi…

Read More

Chaumma yaahidi boti za mwendokasi Kanda ya Ziwa

Kagera. Mgombea urais wa Chaumma, Salum Mwalimu ameahidi mageuzi ya kiuchumi katika Kanda ya Ziwa ikiwa ni pamoja na uwekezaji wa maboti ya kisasa ya mwendokasi kasi ya Mwanza na Kagera, endapo atachaguliwa kuwa rais kwenye uchaguzi mkuu ujao. Akizungumza Septemba 18, 2025, katika mkutano wa kampeni uwanja wa Red Cross, Muleba,  Mwalimu amesema serikali…

Read More

CCM kukuza uchumi wa mtu mmoja mmoja

Unguja. Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameahidi kukuza uchumi wa mtu mmoja mmoja ili kuhakikisha wanafikia azma ya kuwa na Taifa linalojitegemea kiuchumi. Samia amebainisha hayo leo Alhamisi Septemba 18, 2025 wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika Jimbo la Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja. Mkutano huo wa kampeni za…

Read More