Othman: Mambo haya yataifungua Pemba kiuchumi, kimaendeleo

Pemba. Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman ametaja mambo manne ikiwemo ujenzi wa uwanja wa ndege, akisema ndiyo ufunguo wa kuifungua Pemba kimaendeleo na kiuchumi. Mengine ni miundombinu ya bandari, mawasiliano, utawala mwema na mzunguko wa watu wanaoingia na kutoka Pemba. Othman ameeleza hayo leo Alhamisi Septemba 18,2025…

Read More

EU yaweka mkakati kuinua kilimo Tanzania

Moshi. Umoja wa Ulaya (EU) umeanzisha mpango maalumu wa kuimarisha ushirikiano wake na Tanzania katika sekta ya kilimo, ukiweka msisitizo kwenye maendeleo endelevu ya kidijitali, mabadiliko ya tabianchi na kuongeza thamani ya mazao ya bustani na kilimo ikolojia. Kupitia mpango huo, EU itashirikiana na Serikali ya Tanzania pamoja na wadau mbalimbali kutathmini fursa za uwekezaji…

Read More

AG Johari:  Wanasheria endeleeni kujifunza bila kikomo

Kibaha. Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari amesema taifa linahitaji wanasheria wenye moyo wa kujifunza daima, akibainisha kuwa elimu haiishii chuoni bali ni safari endelevu ya kukuza weledi na uwezo wa kutatua changamoto mbalimbali. Johari ametoa kauli hiyo leo, Alhamisi Septemba 18, 2025, wakati akifungua mafunzo ya siku mbili kwa wanasheria wa Serikali kutoka Ofisi…

Read More

AG Johari:  Wanasheria endelea kujifunza bila kikomo

Kibaha. Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari amesema taifa linahitaji wanasheria wenye moyo wa kujifunza daima, akibainisha kuwa elimu haiishii chuoni bali ni safari endelevu ya kukuza weledi na uwezo wa kutatua changamoto mbalimbali. Johari ametoa kauli hiyo leo, Alhamisi Septemba 18, 2025, wakati akifungua mafunzo ya siku mbili kwa wanasheria wa Serikali kutoka Ofisi…

Read More

Wasira: Mtuamini tuendelee kuwaletea maendeleo

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema chama hicho kinafanya kazi kubwa ya kuleta mabadiliko ili kuwaletea maendeleo wananchi.Aidha, amesisitiza wananchi waendelee kukiamini na kukipa nafasi kiendelee kudumisha amani kwa kuwa maendeleo hayatapatikana iwapo itatoweka.Wasira ameeleza hayo alipokuwa akizungumza na viongozi na wanachama wa CCM kutoka Jimbo la Mbeya, akiwa…

Read More

Uchaguzi wa Malawi: Chakwera, Mutharika wajitangazia Ushindi

Lilongwe. Vyama viwili vikuu vya siasa nchini Malawi, Democratic Progressive Party (DPP) na Malawi Congress Party (MCP), vimejitangazia ushindi licha ya matokeo rasmi kutoka Tume ya Uchaguzi ya Malawi (MEC) yakiendelea kusubiriwa. MCP, ambacho ni chama tawala, mgombea wake wa urais ni Rais Dk Lazarus Chakwera, anayetetea kiti hicho kwa muhula wa pili, na mgombea…

Read More