Mahakama yaamuru Ofisa Uhamiaji aliyefukuzwa kazi arejeshwe kazini

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Mwanza, imeamuru kurudishwa kazini kwa aliyekuwa Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji, Dominic Adam, aliyefukuzwa kazi kutokana na mashtaka ya kinidhamu yaliyohusiana na kughushi vibali na stakabadhi. Mahakama hiyo imeamuru arejeshwe kazini na kulipwa stahiki zake tangu alipofukuzwa kazi na iwapo ametimiza umri wa kustaafu kwa mujibu wa sheria alipwe stahiki…

Read More

Madaktari wa wahamiaji wanamaanisha uhaba nyumbani, wazalishaji wa juu wa majina, sasisho la haki za Nigeria, jua ‘dawa muhimu’ – maswala ya ulimwengu

Ripoti mpya ya shirika la afya la UN pia inaonyesha kuwa huko Ulaya mnamo 2023, medali sita kati ya 10 zilizofunzwa nje ya mkoa, wakati idadi hiyo ni kubwa zaidi kwa wauguzi. Kwa kuzingatia matokeo haya – na ukweli kwamba nchi nyingi za Magharibi na Kaskazini mwa Ulaya zinakuwa “zinategemea sana” wafanyikazi hawa wa kigeni…

Read More

Sh120 milioni kupoza maumivu kuungua Soko la Mashine Tatu

Wafanyabiashara 40 wa Soko la Mashine Tatu katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, waliopoteza bidhaa na mali zao kutokana na ajali ya moto, wamekabidhiwa Sh120 milioni ili kuwasaidia kujipanga upya na kurejesha biashara zao. Fedha hizo, zilizotolewa na kampuni ya bima ya Reliance kwa kushirikiana na Benki ya NMB, ni fidia inayolenga kuwasaidia kurejesha mitaji…

Read More

Ajali yaua watu tisa Dodoma, mtoto mchanga anusurika

Dodoma. Watu tisa akiwamo dereva wa basi la abiria la Kampuni ya Abuu Trans, wamefariki dunia huku wengine 16 wakijeruhiwa baada ya basi linalofanya safari zake kati ya Dodoma na Kondoa, kupata ajali likitokea Kondoa kwenda Dodoma Mjini. Chanzo cha ajali hiyo kinaelezwa ni dereva wa Fuso kutaka kulipita basi bila kuchukua tahadhari na kusababisha…

Read More

SERIKALI YA AUSTRIA KUFADHILI MIRADI YA UMEME TANZANIA

  …………………. 📌 Ni inayozalisha umeme kutokana na Jua; Takataka 📌 Ufadhili huo ni kupitia Benki ya UniCredit ya Austria 📌 Serikali ya Tanzania yaahidi ushirikiano Serikali ya Austria kupitia Benki ya UniCredit  imeahidi kuipatia fedha Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kiasi cha Euro Milioni 20 sawa na takribani Shilingi bilioni 60 kwa…

Read More

Mgombea urais Ada Tadea aahidi kujenga viwanda kila wilaya Pemba

Pemba. Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ADA Tadea, George Bussungu amesema endapo atapata ridhaa ya kuchaguliwa na wananchi kuiongoza Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29,2025   kipaumbele chake kitakuwa ni  ujenzi wa viwanda katika kila wilaya Kisiwani Pemba. Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika  katika Uwanja wa Kangagani…

Read More

Odds Zimeshiba Meridianbet! – Global Publishers

Last updated Sep 18, 2025 Usiku wa Ligi ya Mabingwa Ulaya unaendelea kwa mechi kali kabisa za kukupatia maokoto mengi. Nafasi ya wewe kuondoka na pesa ni kubwa kwani ODDS za leo zimeshiba vibaya mno. Unachotakiwa kufanya ni kubashiri na Meridianbet sasa. Napoli wao wataanza safari ya Ligi ya Mabingwa ugenini leo dhidi ya…

Read More

Othman aahidi kukipa kipaumbele kilimo cha karafuu

Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman ameahidi kulivalia njuga zao la karafuu ili liwanufaishe wakulima na kuiingiza kipato Zanzibar. Othman ambaye ni Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, ameeleza hayo Alhamisi Septemba 18, 2025 katika mwendelezo wa kampeni zake Pemba ambapo alipata fursa ya kuzungumza na wanakijiji pamoja na…

Read More