Taji la Kagame lampa mzuka Gamondi
KOCHA Mkuu wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi amesema taji la Kagame walilolitwaa litakuwa chachu ya kuiweka timu kwenye morali nzuri kuikabili Rayon Sports Jumamosi, Septemba 12, mwaka huu. Gamondi alifunguka hayo saa chache baada ya timu yake ikiwa na nyota 26 kuanza safari ya kwenda Rwanda kuwafuata wapinzani wao kwenye michuano ya Kombe la…