Tume ya Uhuru ya UN inagundua kuwa vikosi vya Israeli vimefanya mauaji ya kimbari huko Gaza – maswala ya ulimwengu

Watoto wa Gazan wamesimama kwenye kifusi cha nyumba yao iliyobomolewa huko Rafah. Mikopo: UNICEF/EYAD EL BABA na Oritro Karim (Umoja wa Mataifa) Jumatano, Septemba 17, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Umoja wa Mataifa, Septemba 17 (IPS) – Mnamo Septemba 16, jeshi la Israeli lilianza kukera katika jiji la Gaza, likifuatana na kuongezeka kwa maeneo…

Read More

YAZINDUA HATIFUNGANI YA STAWI YA SHILINGI BILIONI 150

::::::: Benki ya Biashara Tanzania (TCB) imezindua rasmi Hatifungani ya Stawi yenye thamani ya Shilingi Bilioni 150 ambapo kwanza itatumika bilioni 50, ikiwa ni mpango wa muda wa kati wa miaka mitano, kwa mara ya kwanza kuingia katika soko la mitaji nchini. Hatifungani hiyo inalipa riba ya asilimia 13.5 kwa mwaka, ambayo italipwa kila baada…

Read More

RC CHALAMILA AFANYA ZIARA WILAYA YA KIGAMBONI

……….. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila amefanya ziara ya kitembelea ujenzi wa mradi wa shule maalum ya Sekondari ya Mkoa wa Dar es Salaam pamoja ujenzi na chuo cha ufundi Veta wilayani kigamboni sanjari na kufanya kikao na watendaji wa halmashairi hiyo na kuwataka kisimamia vyema ukusanyaji wa mapato ili…

Read More

CMSA YAJIVUNIA KUWEKA ALAMA YA MAFANIKIO KATIKA MAENDELEO YA MASOKO,YAZINDUA MAUZO STAWI BOND

OFISA Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana(CMSA), CPA. Nicodemus Mkama amesema Tanzania imeweka alama kubwa ya mafanikio katika maendeleo ya masoko ya mitaji huku thamani ya uwekezaji katika masoko ya mitaji imeongezeka kwa asilimia 75.25.Ongezeko hilo hadi Agosti mwaka huu 2025 imefika Sh.trilioni 55.45 kutoka Sh. trilioni 31.64 Agosti 2021 na…

Read More

Wananchi Ugalla wajenga kituo cha afya kwa nguvu zao

Tabora. Wananchi wa vijiji vitatu vilivyopo katika Kata ya Ugalla tarafa ya Ussoke Wilaya ya Urambo Mkoa wa Tabora, wanalazimika kutembea umbali wa zaidi ya kilomita 15 kufuata huduma za afya ambapo ni zaidi ya miaka 20 wanaishi katika adha hiyo. Wamebainisha adha hiyo leo Septemba 17, 2025 ambapo wameanzisha ujenzi wa kituo cha afya…

Read More