SERIKALI YAZINDUA MAFUNZO YA NDANI YA NCHI KWA WATAALAM WA MAWASILIANO VIJIJINI
Na Karama Kenyunko, Dar es Salaam Serikali kupitia Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imezindua rasmi Mafunzo ya Ndani ya Nchi kwa wataalamu wanaosimamia Mradi wa Mawasiliano Vijijini (Tanzania Mobile Network for Rural Coverage Project – TMN4RCP). Uzinduzi huo umefanyika jijini Dar es Salaam leo, Septemba 29, 2025. Akifungua mafunzo hayo, Mkurugenzi wa Idara…