Wanaodaiwa kumuua Shyrose wauawa kwa risasi, baba atoa kauli

Mbeya.  Zikiwa zimepita siku 13 tangu kuuawa kwa aliyekuwa mwanafunzi wa mwaka wa pili wa Chuo Kikuu Mzumbe ndaki ya Mbeya, Shyrose Mabula (21), Jeshi la Polisi limewatia mbaroni watuhumiwa watatu wanaodaiwa kuhusika na tukio hilo, ambao baadaye walifariki dunia wakati wakipelekwa hospitali. Kwa mujibu wa taarifa ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Benjamin…

Read More

Sababu za Tanga Cement kuweka hisa zake sokoni

Dar es Salaam. Kampuni ya Tanga Cement yaweka sokoni hisa stahiki zenye thamani ya Sh204 bilioni ikilenga kusaidia kulipa madeni ya nje. Pia pesa zitakazopatikana zinatarajia kukuza mtaji utakaosaidia kuongeza uzalishaji na usambazaji wa bidhaa ya saruji ndani na nje ya nchi. Akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa mauzo ya hisa hizo, Ofisa Mtendaji…

Read More

Waliofariki dunia ajalini Kilimanjaro yafikia sita

Moshi. Idadi ya watu waliofariki dunia katika ajali iliyohusisha gari aina ya Noah na lori mkoani Kilimanjaro wakitokea harusini Tanga, imefikia sita baada ya majeruhi wengine kufariki dunia. Waliofariki dunia katika ajali hiyo ni Rebecca Tarimo, Asia Lyimo, Zainabu Lyimo, Farida Mazimu, Maira Lyimo na Samwel Nyerembe. Ajali hiyo ilitokea jana Septemba 28, 2025 eneo…

Read More