JamiiForums yafungiwa, mmiliki ajiuzulu ujumbe wa bodi

Dodoma. Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imelifungia jukwaa la mtandaoni JamiiForums kwa miezi mitatu, huku mmiliki wa mtandao huo Maxence Melo akijiuzulu ujumbe wa Bodi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi. TCRA kupitia taarifa iliyotolewa leo Septemba 6, 2025 na kusainiwa na Mkurugenzi Mkuu, Dk Jabir Bakari imesema leseni iliyotolewa kwa Vapper Tech JamiiForums…

Read More

Polisi yamsaka aliyeonekana akimnywesha mtoto pombe

Dar es Salaam. Mamlaka za Serikali zimeutaka umma kusaidia kuwezesha kupatikana mwanamke ambaye kupitia mitandao ya kijamii ameonekana akimnywesha mtoto mdogo kunywa pombe, tendo ambalo ni kinyume cha sheria. Jeshi la Polisi katika taarifa kwa umma iliyotolewa leo Septemba 6, 2025 limeeleza limeona picha mjongeo inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii akionekana mwanamke akimhamasisha na kumnywesha…

Read More

JAMIIFORUMS YAFUNGIWA KWA SIKU TISINI

 :::::: Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesitisha kwa muda wa siku 90 leseni ya huduma za maudhui mtandaoni iliyokuwa inamilikiwa na kampuni ya Vapper Tech Limited, wamiliki wa jukwaa maarufu la JamiiForums, baada ya tuhuma za kuchapisha maudhui yanayodaiwa kupotosha na kudhalilisha viongozi wa Serikali.  Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Septemba 6, 2025 na…

Read More

Morocco: Wale Niger tutamalizana nao vizuri tu

KOCHA wa timu ya Taifa Stars, Hemed Suleiman ‘Morocco’ amesema kikosi hicho kina nafasi kubwa ya kufanya vizuri katika mechi ya kufuzu Kombe la Dunia mwaka 2026, dhidi ya Niger itakayopigwa Septemba 9, kwenye Uwanja wa New Amaan Zanzibar. Kauli ya kocha huyo inakuja baada ya timu hiyo kushindwa kuwika juzi ugenini kufuatia kulazimishwa sare…

Read More

MKURUGENZI WA JAMIIFORUMS MAXENCE MELLO AOMBA KUJIUZULU UJUMBE WA TUME YA ULINZI WA TAARIFA BINAFSI

:::::::: Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, @jamiiforums Maxence Melo, ameomba Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya kujiuzulu ujumbe wa Bodi katika Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi.  Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijami wa Instagram wa Melo @macdemelo amechapisha taarifa inayosomeka “Leo, Septemba 06, 2025 nimemuandikia rasmi Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari juu…

Read More

MBETO AMVAA OMO AKIMTAKA AACHE MAKELELE YAKE

 :::::::: Na Mwandishi Wetu, Zanzibar  Chama Cha Mapinduzi kimesema kwa mujibu wa Sheria hakuna chama chochote cha Siasa ,Vyombo vya habari au Taasisi yoyote yenye Mamlaka ya kutangaza matokeo ya Uchaguzi bila idhini ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC). Pia chama hicho kimesisitiza kuwa Uchaguzi katika nchi yoyote duniani , huongozwa kwa kanuni na taratibu…

Read More

Ayelifunga hat-trick aichimba mkwara Polisi Kenya

MSHAMBULIAJI wa Ethiopian Coffee, Amanuel Admassu ambaye alipachika mabao matatu ‘hat-trick’ ya kwanza kwenye mashindano ya Kombe la Cecafa Kagame, ameichimba mkwara Kenya Police ambayo watakutana nayo katika mechi ya mwisho ya hatua ya makundi. Admassu alipachika mabao hayo, akisaidia Ethiopian Coffee kuibuka na ushindi wa mabao 6-0 dhidi ya Garde Cotes ya Burundi katika…

Read More

Dk Mwinyi arudisha fomu ZEC, aeleza matumaini yake

Unguja. Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Hussein Mwinyi, amerejesha fomu kuomba kuteuliwa kugombea nafasi hiyo katika ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) akieleza matumaini yake ya kuteuliwa kuwania nafasi hiyo. Dk Mwinyi, Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi anayemaliza muda wake, alikuwa wa kwanza kuchukua fomu…

Read More