Polisi, Uhamiaji kufungua dimba Ligi Kuu Zanzibar

TIMU za Polisi na Uhamiaji, zitafungua dimba la Ligi Kuu Zanzibar msimu wa 2025-2026 baada ya ratiba kutangazwa rasmi. Ratiba hiyo iliyotangazwa na Bodi ya Ligi Zanzibar, inaonesha mechi zitaanza kuchezwa Septemba 20, mwaka huu ambapo Polisi itakuwa mwenyeji wa Uhamiaji kwenye Uwanja wa Uwanja Mao A uliopo Unguja, saa 10:15 jioni. Katika ratiba hiyo,…

Read More

Vyama 19 vyaikumbusha Takukuru wajibu wake

Kigoma. Wagombea ubunge wa majimbo ya Kigoma Mjini na Kigoma Kaskazini wameiomba Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Mkoa wa Kigoma, kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi kwa kuzingatia sheria na taratibu za uchaguzi. Wagombea hao wametoa kauli hiyo leo, Jumatano Septemba 17, 2025, mjini Kigoma,  baada ya kushiriki mafunzo yaliyotolewa na Takukuru kuhusu…

Read More

Wasira: Wagombea msibweteke kaombeni kura kwa wananchi

Mbeya. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amesema hakuna mgombea aliyepita bila kupingwa, na amewataka wagombea wa chama hicho kuendelea kusaka kura kwa wananchi nyumba kwa nyumba. Amesema lengo la kusaka kura ni   kuhakikisha ushindi wa kishindo katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025 unapatikana. Wasira ametoa kauli hiyo leo,…

Read More

Fadlu anadaiwa makombe Simba | Mwanaspoti

“SIMBA msimu uliopita tulitengeneza msingi lakini msimu huu ni wa kushinda makombe, dirisha la usajili limeshafungwa, nawaamini sana wachezaji wangu wote na nimefurahishwa na kikosi changu. Kama kocha nitapambana na kikosi hiki kutengeneza timu yenye ushindani msimu huu.” Hayo ni maneno ya Kocha Mkuu wa Simba, Fadluraghman “Fadlu” Davids aliyoyasema mbele ya waandishi wa habari,…

Read More

Kongamano la Uchumi Jumuishi kuwakutanisha wadau Mbeya

KIGODA Cha Uprofesa cha Mwalimu J.K. Nyerere katika Taaluma za Umajumui wa Afrika (Chuo Kikuu cha Dar es Salaam) kwa kushirikiana na Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPP Centre), limeandaa kongamano kubwa la kujadili Uchumi Jumuishi kuelekea utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Kongamano hilo litafanyika Septemba 18,…

Read More

Je Nani Kukupatia Maokoto Siku ya Leo?

MECHI za UEFA leo hii zinaendelea baada ya jana kushuhudia mitanange kibao ya kukata na shoka. Nafasi ya kuondoka na pesa unayo ndani ya Meridianbet, ingia kwenye akaunti yako na ubashiri sasa. Mapema kabisa Olympiacos atakuwa mwenyeji wa Pafos FC ambao hawapewi nafasi ya kushinda mtanange huu wa leo wakiwa na ODDS 7.80 kwa 1.46….

Read More