SERIKALI YAWAHAKIKISHIA WAFANYABIASHARA KAWE KUREJEA KAZINI HARAKA
Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo,akizungumza leo Septemba 16, 2025, wakati wa ziara yake ya kukagua athari za moto uliotokea alfajiri ya Septemba 15 katika soko la Kawe. … SERIKALI imetenga shilingi milioni 400 kwa ajili ya ujenzi wa soko la muda kwa wafanyabiashara waliokumbwa na janga la moto katika soko la…