
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Septemba 7, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
WAHENGA huwa wana misemo yao ile kwamba sijui kuolewa ni bahati, kuolewa ni tabia na mingine mingi tu. Leo nataka tujadili juu ya makosa ambayo wanawake wengi wanayafanya na kujikuta wakishindwa kuolewa. Wanawake wengi wamekuwa wakikwama kuolewa bila kujua sababu ni nini. Au hata kama wanajua kuna ile hali fulani ya ubishi, ujeuri ambao unachangia…
Canada. Tufuatane katika kisa cha kufikirisha na kusisimua hata kuogopesha japo kinafundisha kitokanacho na upendo wa kweli. Kawaida, wanandoa, hulala pamoja. Hili haliepukiki wala kujadilika katika maisha ya ndoa. Siku moja, baba alikosa usingizi lakini akakaa kimya kuchelea kumuamsha mwenzie. Alistuka. Akiwa hana hili wala hili, mkewe aligutuka usingizini. Alianza kumnusa vidole. …
Bwana Yesu Asifiwe watu wa Mungu. Karibuni katika ujumbe wa neno la Mungu tuliopewa unaosema ‘Tumia mamlaka uliyopewa na Mungu kuyashinda magumu ya dunia’. Ni matumaini yangu ujumbe wa leo utabadilisha maisha yako, hutawaza kama mwanzo, hautateseka na mambo yanayoonekana yanakulete hofu katika maisha. Mungu akubariki na uweze kuelewa na kuchukua hatua. Katika maisha haya…
Nyumbani mwake huko Jalalabad, takriban kilomita 50 mbali na kitovu, Dk Sahak na mkewe walitoka nje ya chumba chao kupata watoto wao wanane tayari kwenye barabara ya ukumbi. “Mara moja nilifikiria juu ya Herat,” daktari wa Afghanistan katika miaka yake ya marehemu aliniambia, akizungumzia matetemeko ya ardhi ambayo yaliharibu mkoa wa magharibi wa nchi hiyo…
Na Pamela Mollel, Arusha Mashindano ya Tanfoam Marathon yamezinduliwa rasmi kwa msimu wa pili, yakitarajiwa kufanyika tarehe 7 Desemba 2025 jijini Arusha katika Viwanja vya General Tire. Wananchi wa ndani na wageni kutoka mataifa mbalimbali wametakiwa kujitokeza kushiriki na kushuhudia tukio hilo kubwa la michezo. Akizungumza wakati wa uzinduzi, Mwenyekiti wa mbio hizo Glorious Temu…
::::::: Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limetangaza kukatika kwa umeme kesho Jumapili, Septemba 7, 2025, kutokana na matengenezo katika kituo cha kupoza umeme cha Gongolamboto. Taarifa iliyotolewa leo Jumamosi Septemba 6, 2025 imesema, umeme utakosekana kuanzia saa 1 asubuhi hadi saa 11 jioni, hatua inayolenga kuimarisha huduma kwa wateja wake wa Mkoa wa Ilala na…
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Mafinga MWENYEKIITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama hicho katika Uchaguzi mkuu mwaka huu Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wana CCM kuvunja makundi na iwawe wamoja ili wasiishie Power kama walivyo wengine. Akizungumza katika mkutano wa kampeni za Urais kuelekea Oktoba 29,2025 uliofanyika Mafinga…
Lindi. Mgombea ubunge wa Jimbo la Lindi Mjini kwa tiketi ya chama cha ACT-Wazalendo, Isihaka Mchinjita anadaiwa kushikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani hapa, muda mfupi baada ya kumaliza kuhutubia mkutano wake wa kampeni. Tukio hilo limetokea leo, Jumamosi Septemba 6, 2025, katika uwanja wa Shule ya Msingi Mpilipili, ambapo Mchinjita ambaye pia ni Makamu…