Lissu aibua jipya kuhusu mashahidi wa Jamhuri

‎Dar es Salaam.  Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ameibua hoja mpya dhidi ya mashahidi wa Jamhuri wanaotarajiwa kutoa ushahidi katika kesi ya uhaini inayomkabili, akidai kuwa ni hawastahili kisheria kufika mahakamani kutoa ushahidi kwenye kesi hiyo. Lissu ameibua madai hayo leo Jumanne, Septemba 16, 2025, katika mwendelezo wa usikilizwaji wa…

Read More

Usimamizi mbovu mikataba ya miradi ya ujenzi unavyoigharimu Serikali mabilioni ya fedha

Arusha. Usimamizi mbovu wa mikataba ya miradi ya ujenzi wa miundombinu ya usafiri imetajwa kama kaa la moto, linaloteketeza mabilioni ya fedha za Serikali. Kutokana na hilo, Serikali imewataka wataalamu wa sekta ya ujenzi na usafirishaji kuhakikisha wanaongeza uelewa, umakini na kuweka uwazi katika mikataba ya miradi ya miundombinu, ili kulinda thamani ya fedha za…

Read More

KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025 ,MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA NCHINI AVIFUNDA VYAMA VYA SIASA HANDENI

  Na; Mwandishi Wetu – Handeni Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imevitaka vyama vyote vya siasa katika Wilaya ya Handeni kuhakikisha vinazingatia kanuni, taratibu na sheria zilizowekwa wakati wa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, ili kuhakikisha uchaguzi unafanyika kwa amani, uwazi na kwa mujibu wa sheria. Akizungumza katika kikao kazi na wawakilishi…

Read More

MAFUNDO MCHUNDO WATAKIWA KUZINGATIA HIFADHI YA TABAKA LA OZONI

…………………. Serikali imewataka mafundi mchundo wa majokofu na viyoyozi kuendelea kutumia njia salama za kuhudumia vifaa hivyo pasipo kuathiri mazingira na sanjari na kuzingatia ukomo wa matumizi wa kemikali zinazodhibitiwa.  Wito huo umetolewa na Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Deogratius Paul wakati akifungua mafunzo kwa mafundi viyoyozi na majokofu…

Read More

MAKAMU WA RAIS AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI MTEULE WA TANZANIA NCHINI JAPAN

…………… Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi mteule wa Tanzania nchini Japan Mhe. Anderson Mutatembwa, mazungumzo yaliyofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma. Katika mazungumzo hayo, Makamu wa Rais amemsihi Balozi Mutatembwa kuzingatia kipaumbele cha nchi ambacho ni diplomasia ya uchumi kwa kuhakikisha anavutia…

Read More

Ahadi za Mwinyi kwa bodaboda, wakulima na wajasiriamali

Unguja. Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Hussein Mwinyi, amesema akipata ridhaa nyingine ya kuongoza, watawekeza nguvu kubwa kuyainua makundi ya wajasiriamali, huku bodaboda wakiundiwa ushirika wa kumiliki pikipiki zao wenyewe. Dk Mwinyi ametoa kauli hiyo leo, Septemba 16, 2025, wakati akizungumza na makundi ya bodaboda, wakulima wa viungo na wajasiriamali…

Read More

ADA COTTRELL FOUNDATION YATOA MSAADA NUNGWI-ZANZIBAR

Na Mwandishi Wetu Taasisi ya ADA COTTRELL FOUNDATION kwa kushirikiana na Taasisi ya (LDF) Labayka Development Foundation imetoa mahitaji kwa Watoto wanaishi mazingira magumu katika kata ya Nungwi Wilaya ya Kaskazin A, Mkoa wa Kaskazini Unguja – Zanzibar. Akizungumza na waandishi wa habari Mkurungezi Mwakilishi wa Taasisi ya Ada Cotterll Foundation Shedrack Albert amesema ugawaji…

Read More