Ligi Bara yambeba kipa Mkongomani

ALIYEKUWA kipa wa Dodoma Jiji, Mkongomani Alain Ngeleka, amesema Ligi Kuu Bara imempa fursa ya kuonekana zaidi baada ya nyota huyo kukamilisha uhamisho wa kujiunga na kikosi cha Bandari ya Kenya kwa ajili ya kukitumikia msimu wa 2025-2026. Akizungumza na Mwanaspoti, Ngeleka alisema kucheza kwa muda mrefu katika Ligi Kuu Bara kumechangia kupata nafasi hiyo…

Read More

Wagosi wa kaya wapo tayari Bara

KOCHA Mkuu wa Coastal Union, Ally Ameir amesema kikosi hicho kipo tayari kukabiliana na Tanzania Prisons katika mechi ya kwanza ya Ligi Kuu Bara inayotarajiwa kupigwa Septemba 17, kwenye Uwanja wa Mkwakwani, jijini Tanga. Pambano hilo la Wagosi wa Kaya waliowahi kuwa mabingwa wa Ligi Kuu (enzi za Ligi Daraja la Kwanza) mwaka 1988, ni…

Read More

DKT.NCHIMBI AOMBA WANANCHI HANDENI KUICHAGUA CCM KWA KURA NYINGI ILI ISHINDE KWA KISHINDO UCHAGUZI MKUU.

MGOMBEA Urais mwenza kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel Nchimbi amewaomba wananchi wa Wilaya ya Handeni mkoani Tanga kukipigia kura Chama hicho ili kishinde kwa kura nyingi katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 29,2025. Ametoa ombi hilo alipokuwa akihutubia maelfu ya Wananchi waliofika kumsikiliza,katika uwanja wa Kigoda leo Septemba 15, 2025 wilayani…

Read More

AZZA HILLAL AMUOMBEA KURA AHMED SALUM, DR. SAMIA

Mgombea Ubunge Jimbo la Itwangi Azza Hillal Hamad akizungumza kwenye mkutano wa uzinduzi wa Kampeni za Uchaguzi Jimbo la SolwaMgombea Ubunge Jimbo la Itwangi Azza Hillal Hamad akiomba kura kwa ajili ya Dkt. Samia Suluhu Hassan, Ahmed Salum, Madiwani wa CCM na yeye mwenyewe akizungumza kwenye mkutano wa uzinduzi wa Kampeni za Uchaguzi Jimbo la…

Read More