
Hatutamsahau Rais Samia aliahirisha ziara baada ya maafa Hanang’ – Nagu
Babati. Waziri mstaafu Mary Nagu amewaasa wananchi wa Mkoa wa Manyara kulipa wema wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa kumpa kura nyingi za ndiyo katika uchaguzi ujao, akisema kuwa Rais huyo ameonyesha moyo wa huruma na kujali wananchi wake kwa vitendo. Akizungumza leo Jumamosi, Septemba 6, 2025, mjini Babati, wakati wa uzinduzi wa kampeni za…