Wasira: Badala ya kulalamika, fanyeni kazi muwe kama Samia

Musoma. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amewataka watu wanaohoji sababu za kumsifu mwenyekiti wa chama hicho, Samia Suluhu Hassan, kuacha malalamiko na badala yake wajikite katika kufanya mambo yenye tija kwa maendeleo ya wananchi, ili nao wapate sifa. Wasira amesema si vibaya kiongozi kusifiwa pale anapotekeleza majukumu yake kwa ufanisi,…

Read More

UMD yaahidi ‘mgodi wa machungwa’ Muheza

Dar/Tanga. Chama cha Union Multiparty Democracy (UMD) kimeahidi kuwa endapo kitapewa dhamana ya kuongoza nchi, kitatekeleza mradi wa ‘mgodi’ wa machungwa katika Wilaya ya Muheza, mkoani Tanga, ili kuwanufaisha wananchi wa eneo hilo kupitia kilimo cha zao hilo. Aidha, chama hicho kimeahidi kuondoa adha ya upungufu wa maji kwa wananchi kwa kuwajengea visima katika kila…

Read More

DC Mpogolo azindua vitabu kwenye MwanaClick

Dar es Salaam. Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, amesema utunzi wa vitabu unaofanywa na watu mbalimbali nchini ni ushahidi wa wazi wa mapinduzi chanya ambayo Tanzania imeyapitia katika nyanja mbalimbali za maendeleo. Mpogolo amesema kuwa kitendo cha Watanzania kujitokeza kuandika na kuchapisha vitabu ni ishara ya jamii inayozidi kukomaa kielimu, kiutamaduni na kitaaluma,…

Read More

Mtandao mpya wa kuwatafutia wabunifu mitaji wazinduliwa

Dar es Salaam. Wamiliki wa kampuni changa za kibunifu (Startups) huenda wakawa mbioni kuondokana na changamoto ya mitaji baada ya kuzinduliwa mtandao utakaowaunganisha na wawekezaji. Uzinduzi wa mtandao huo umefanyika wakati ambao mtaji ni kilio kwa wabunifu, hali inayosababisha mawazo yao kushindwa kuendelea na kuleta tija iliyokusudiwa kwa jamii. Mtandao ujulikanao Malaika (Rhapta Angels Investor…

Read More

Zitto azindua kampeni akiahidi kurejesha heshima ya Kigoma

Kigoma/Dar. Uwanja wa Mwami Ruyagwa, mjini Kigoma umegeuka bahari ya zambarau, umati uliovaa vazi la rangi hiyo ulipofika kushuhudia uzinduzi wa kampeni za mgombea ubunge wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe. Zitto, kiongozi mstaafu wa chama hicho amesema leo Septemba 6, 2025 kuwa safari yake ya kisiasa iliyoanza mwaka 2015 na kukwama 2020 sasa itaendelea kwa nguvu…

Read More

BALOZI NCHIMBI AKIWASILI KATIKA JIMBO LA BIHARAMULO MAGHARIBI

Mgombea Mwenza wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akiwasili katika uwanja wa mpira CCM Majengo,katika jimbo la Biharamulo Magharibi mkoa wa Kagera,ambapo baadae atawatubia Wananchi waliofika kumsikiliza leo Jumamosi Septemba 6,2025 akitokea mkoa wa Kagera. Dkt Nchimbi anaendelea na mikutano yake ya kampeni nchi nzima, kusaka kura za ushindi…

Read More

Makada 18 wa Chadema washikiliwa na polisi

Moshi. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linawashikiliwa watuhumiwa 18, akiwamo Katibu Mwenezi wa Baraza la Vijana Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Felius Kinimi, wakituhumiwa kufanya mikusanyiko iliyo kinyume cha sheria. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amethibitisha kukamatwa kwa watuhumiwa hao leo Septemba 6, 2025, akisema wamekamatwa eneo la…

Read More

KUPATWA KWA MWEZI KESHO SEPT 7

…………….. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa ya tukio la kupatwa kwa Mwezi linalotarajiwa kutokea kesho tarehe 7 Septemba 2025. Kwa mujibu wa Taarifa hiyo imeeleza kuwa Hali ya kupatwa kwa Mwezi ni tukio linalotokea wakati Dunia inapita kati ya Jua na Mwezi na kusababisha kivuli cha Dunia kuwa katika uso wa…

Read More