Mahakama ilivyoamua kesi mali za Chadema

‎Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imekiamuru Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuwasilisha mahakamani hapo  nyaraka zinazohusiana na rasilimali zake kufuatia kesi ya mgogoro wa mgawanyo wa rasilimali usio sawa kati ya Tanzania Bara na Zanzibar inayokikabili. Amri hiyo imetolewa na Jaji Hamidu Mwanga anayesikiliza kesi hiyo, leo Jumatatu, Septemba…

Read More

Dkt. Mwinyi Aahidi Masoko Mapya Matano kwa Wafanyabiashara Zanzibar

MGOMBEA wa Urais wa Zanzibar kupitia CCM, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kujenga masoko makubwa mapya matano ili kuwawezesha wafanyabiashara kufanya shughuli zao katika mazingira bora zaidi. ✅ Maeneo mapya: Kinyasini, Mwera, Kibandamaiti, Kisauni na Kwahajitumbo 
✅ Kupunguza msongamano na kodi kubwa kwa wafanyabiashara 
✅ Kuendeleza biashara na uchumi wa Zanzibar Rais Dkt. Mwinyi amewaomba…

Read More

Othman ataja mambo manne yatakayompa urais Zanzibar

Unguja. Mgombea urais wa Zanzibar (ACT Wazalendo), Othman Masoud Othman, ameyataja mambo manne ambayo ni siri ya ushindi wa chama chake katika nafasi ya urais visiwani humo katika uchaguzi wa mwaka huu, huku akijinasibu kuwa, tayari chama hicho kimeshayatimiza. Miongoni mwa siri hizo, kwa mujibu wa Othman ni kujua wanachokipambania ambacho ni masilahi ya Wazanzibari,…

Read More

Masoko mapya 13 kujengwa Ubungo

Dar es Salaam. Mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi ameahidi ujenzi wa masoko 13 katika Wilaya ya Ubungo yatakayochochea uchumi wa wananchi na Taifa. Aidha, amewaahidi wafanyabiashara ndogondogo wa Ubungo jijini Dar es Salaam kwamba biashara zao zitarasimishwa ili kuwawezesha kupata mikopo na kupunguza urasimu wa kupata leseni. Mgombea…

Read More

Sababu iliyomtoa Denis Kitambi Fountain Gate

BAADA ya Denis Kitambi kutoonekana na kikosi cha Fountain Gate katika mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Mtibwa Sugar iliyochezwa Septemba 28, 2025 kwenye Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma, taarifa zinabainisha amemalizana na uongozi wa klabu hiyo huku sababu ya kufanyika hayo ikiwekwa wazi. Kitambi aliyeonekana kwa mara ya kwanza akikiongoza kikosi hicho Agosti…

Read More

Cheza Super Heli na Ushinde Samsung Galaxy A26 Kila Wiki

HATIMAYE sasa mchezo wa Super Heli unaopatikana kwenye kasino ya mtandaoni ya Meridianbet umewasili na ujio wake wakati huu ni wa mvuto kwani mchezo umekuja na zawadi murua kabisa kwa wachezaji. Washindi mbalimbali wa mchezo huu sasa watajinyakulia simu za Smartphones za kisasa kabisa aina ya Samsung A26, hivyo kama bado hujaanza kucheza huu mchezo…

Read More

DK.SAMIA AACHA FURAHA PANGANI AKIOMBA KURA KUELEKEA OKTOBA 29

 *Aweka wazi mikakati wa kuifungua Pangani kwa miundombinu ya barabara  Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Pangani MGOMBEA Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)Rais Dk.Samia Suluhu Hassan ametoa ahadi mbalimbali ambazo Serikali inakwenda kuyatekeleza katika miaka mitano ijayo katika Wilaya ya Pangani mkoani Tanga huku akitumia nafasi hiyo kuzungumza Ujenzi wa barabara ya Bagamoyo-Saadan-Pangani hadi Tanga…

Read More

Kampuni ya Nazneen Handling yakabidhi mashine Chuo cha VETA

Mkurugenzi wa Kampuni ya Nazneen, Hafeezali Gangji (wapili kulia) akikabidhi mfano wa funguo ya mtambo wa kuchanganyia zege,Zulfiqar zaky (katiakti) Dar es Salaam baada ya kununua mtambo huo kwenye maonesho ya 26 ya Buld Expo 2025. Kushoto ni Mohammed Kassam, Mkurugenzi wa Mauzo wa kamapuni hiyo, Niranjani Bandi na Nazia Gangji. Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni…

Read More

Samia aahidi makubwa Pangani, akimsifu Aweso

Tanga. Mgombea urais kupitia CCM Samia Suluhu Hassan amesema mgombea ubunge wa jimbo la Pangani Jumaa Aweso amefanya kazi kubwa iliyofanya upatikanaji wa maji kufikia asilimia 85. Amesema katika kipindi kijacho cha miaka mitano mpango wa Serikali ni kuhakikisha inamaliza changamoto ya maji kwenye maeneo yote yaliyosalia ili kuhakikisha kila Mtanzania anapata maji safi na…

Read More