NBAA YASISITIZA USHIRIKIANO NA WANAHABARI

  Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imeendesha semina maalum kwa wahariri na waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari nchini, ikiwa na lengo la kutoa elimu, kuongeza uelewa na kuimarisha ushirikiano wa kitaaluma katika kuhabarisha jamii kuhusu majukumu ya Bodi hiyo. Akizungumza katika semina hiyo iliyofanyika jijini Dar…

Read More

Lissu akwama hatua ya kwanza pingamizi kesi ya uhaini

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, amekwama katika hatua ya kwanza ya kujinasua katika kesi ya uhaini inayomkabili, baada ya Mahakama Kuu, Masjala Ndogo Dar es Salaam, kutupilia mbali sababu yake moja ya pingamizi lake. Lissu anakabiliwa na shtaka la uhaini, kinyume na kifungu cha 39(2)(d) cha Sheria…

Read More

Fadlu aahidi kulipa kisasi kwa Yanga

KOCHA Mkuu wa Simba, Fadlu Davids amesema katika mechi ya kesho dhidi ya Yanga, hawana presha kwa sababu tayari wana uzoefu na dabi, huku akiamiani benchi la wapinzani wake litakuwa na kazi za ziada kutokana na ugeni wao. Hiyo ni katika kuelekea mchezo wa Ngao ya Jamii uliopangwa kuchezwa kesho Jumanne kwenye Uwanja wa Benjamin…

Read More

Arajiga kuamua Dabi ya Kariakoo

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limemtangaza mwamuzi Ahmed Arajiga, kuwa mwamuzi wa kati kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii utakaozikutanisha Yanga dhidi ya Simba. Ofisa Habari wa TFF, Clifford Ndimbo, amesema Arajiga atakuwa mwamuzi wa kati katika mchezo huo utakaochezwa kesho kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Ndimbo amesema Arajiga atasaidiwa…

Read More