Mwalunenge ataja masoko, kumbi za kisasa akiomba kura

Mbeya. Mgombea ubunge wa Mbeya Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Patrick Mwalunenge ametaja miongoni mwa vipaumbele vyake kuwa ni kuboresha miundombinu ya masoko, kujenga kumbi za kisasa za mikutano na hoteli ya nyota tano ili kubadilisha taswira ya jiji hilo. Amesema atatenga maeneo ya ujenzi wa vibanda vya wajasiriamali wanaopanga bidhaa chini pamoja na…

Read More

VIDEO: Sababu Polepole kuitwa Polisi

Dar es Salaam. Ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai imemtaka aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole kufika ofisini hapo  kutoa maelezo au ushahidi kuhusiana na tuhuma anazozitoa kwa umma kupitia mitandao ya kijamii. Polepole aliyejiuzulu nafasi yake Julai 13, 2025 kwa madai hawezi kuendelea kuwa sehemu ya uongozi usiohamasika na…

Read More

Mahakama itakavyoamua hatima kesi ya uhaini wa Lissu leo

‎Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, leo inatarajiwa kutoa uamuzi wa pingamizi la usikilizwaji wa kesi ya uhaini inayomkabili mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ambao utaamua hatima ya kesi hiyo. Uamuzi huo unatarajiwa kutolewa leo Jumatatu, Septemba 15, 2025 na jopo la majaji watatu waliopangwa kusikiliza…

Read More

Mahakama itakavyomua hatima kesi ya uhaini wa Lissu leo

‎Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, leo inatarajiwa kutoa uamuzi wa pingamizi la usikilizwaji wa kesi ya uhaini inayomkabili mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ambao utaamua hatima ya kesi hiyo. Uamuzi huo unatarajiwa kutolewa leo Jumatatu, Septemba 15, 2025 na jopo la majaji watatu waliopangwa kusikiliza…

Read More

Mpina aondolewa mbio za urais, akwaa kwa Samia

Dar es Salaam. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imemuondoa mgombea urais kupitia Chama cha ACT – Wazalendo, Luhaga Mpina kwenye mbio za urais, baada ya pingamizi lililowekwa dhidi yake na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari kukubalika. Wakati huo huo, pingamizi aliloweka Mpina dhidi ya mgombea urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia…

Read More

Mpina akatwa tena kinyang’anyiro cha urais Tanzania

Dar es Salaam. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imeengua rasmi jina la mgombea wa urais kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Luhaga Mpina katika orodha ya wagombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, mwaka huu. Hatua hiyo imekuja baada ya INEC kukubali pingamizi lililowasilishwa na Mwanasheria…

Read More

Beki Simba apewa mmoja Zambia

ALIYEKUWA beki timu ya vijana ya Simba, Alon Okechi Nyembe amesajiliwa na Zanaco inayoshiriki Ligi Kuu Zambia kwa mkataba wa mwaka mmoja. Beki huyo alicheza Simba U-20 misimu miwili kisha kupandishwa timu kubwa, ingawa aliishia benchi. Akizungumza na Mwanaspoti, Nyembe alisema kusajiliwa na Zanaco ni fursa kwake ya kuonyesha uwezo wake baada ya kuaminiwa na…

Read More