Dkt. Ndumbaro: Ilani ya CCM 2020–2025 Yatekelezwa kwa kishindo, Ahadi Ilani Mpya 2025–2030 Zatajwa Kampeni Jimbo la Songea Mjini ikizinduliwa.

 Mgombea Ubunge Jimbo la Songea Mjini na Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Damas Ndumbaro, amesema utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya mwaka 2020–2025 umekamilika kwa mafanikio makubwa, hususan katika sekta za kilimo, elimu, afya, maji na miundombinu. Akizungumza kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni katika jimbo la Songea Mjini…

Read More

CCM WAZINDUA RASMI KAMPENI SHINYANGA MJINI

  Katibu wa CCM Mkoa wa Shinyanga Odilia Batimayo akimnadi Mgombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini Mhe. Patrobas Katambi wakati wa uzinduzi wa Kampeni Jimbo la Shinyanga Mjini uliofanyika Jumapili Septemba 14,2025 katika kata ya Ndala Manispaa ya Shinyanga – Picha na Marco Maduhu na Kadama Malunde  Na Marco Maduhu,Shinyanga Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa…

Read More

Kelvin John aweka chuma mbili Denmark

MSHAMBULIAJI wa Kitanzania, Kelvin John anayekipiga Aalborg, amefunga mabao mawili jioni ya leo kufuatia ushindi wa 4-0 dhidi ya Middelfart Boldklub kwenye muendelezo wa Ligi Daraja la Kwanza nchini Denmark. Mabao ya John aliyefunga dakika ya 72 na 82, yameisogeza timu hiyo hadi nafasi ya nane kutoka tisa kwenye msimamo wa ligi hiyo maarufu Danish…

Read More

Mapya filamu ya Mpina na urais

Dar es Salaam. Safari ya mgombea urais wa Chama cha ACT – Wazalendo, Luhaga Mpina kugombea nafasi hiyo imeendelea kukumbana na vikwazo baada ya kuwekewa mapingamizi mengine huku chama hicho kikieleza hatua itakazochukua. Kwa mujibu wa ACT-Wazalendo, mapingamizi hayo, yamewekwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, wagombea urais wa Chama cha Alliance for African Farmers Party…

Read More

Vodacom Tanzania yazindua Dira ya 2030, yawekeza zaidi ya dola 100 milioni uboreshaji miundombinu ya teknolojia kwa uchumi jumuishi wa kidijitali

Kampuni ya Teknolojia na Mawasiliano, Vodacom Tanzania inapoadhimisha miaka 25 ya huduma hapa nchini imeweka msingi wa kizazi kijacho kwa kutangaza mpango wa kisasa wa teknolojia wenye thamani ya zaidi ya dola 100m ikiwa ni moja ya uwekezaji mkubwa zaidi wa miundombinu katika historia yake. Mpango huu wa kihistoria unalenga kubadilisha hali ya mtandao nchini…

Read More

RC Malisa apongeza TBS kwa kuwainua wajasiriamali kupitia maonesho ya biashara

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mheshimiwa Beno Malisa, ameipongeza Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kwa juhudi zake za kuwafikia na kuwahudumia wajasiriamali kupitia maonesho mbalimbali ya kibiashara nchini. Akizungumza wakati wa Tamasha la Maonesho ya Kimataifa ya Kusini ya Biashara yanayoendelea mkoani Mbeya, Mh. Malisa alisema hatua ya TBS kutembelea na kutoa msaada wa kitaalamu…

Read More

Mwakwama CUF ataja vipaumbele vitano Uyole

Mbeya. Mgombea Ubunge wa Jimbo la Uyole kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Ibrahim Mwakwama, ametaja vipaumbele vitano ambavyo atavifanyia kazi iwapo atachaguliwa, huku akisisitiza uongozi shirikishi na kulaani vitendo vya utekaji. Akihutubia wananchi leo Jumapili Septemba 14, 2025 katika mkutano wa kampeni uliofanyika Uyole Junction, Mwakwama amwsema ili jimbo hilo liwe la mfano, mshikamano unatakiwa…

Read More