JKT yatinga fainali ya CECEFA

JKT Queens imetinga fainali ya michuano ya Afrika Mashariki na Kati kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake baada ya kuishinda Kenya Police Bullets kwa mikwaju ya penalti 4-2 kufuatia sare ya bao 1-1. Mechi hiyo imepigwa katika Uwanja wa Moi Kasarani, Naironi Kenya, ambako yanafayika mashindano hayo yaliyoanza Septemba 4 na fainali itapigwa keshokutwa…

Read More

Maandalizi duni yaiangusha JKU | Mwanaspoti

ALIYEKUWA kocha msaidizi wa JKU Princess, Noah Kanyanga amesema maandalizi hafifu yamechangia timu hiyo kutofanya vizuri kwenye mashindano ya CECAFA kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika. Baada ya JKU kuondolewa kwenye mashindano, rasmi sasa Kanyanga anarudi kwenye majukumu yake ya kocha mkuu Fountain Gate Princess. Mabingwa hao wa Zanzibar walimuazima ili aongeze nguvu. Akizungumza na Mwanaspoti,…

Read More

Jussa ataja hoja tatu zinazombeba Othman urais Zanzibar

Unguja. Mwenyekiti wa Kamati ya Ushindi ya chama cha ACT Wazalendo, Ismail Jussa, amesema hoja tatu ikiwemo uzalendo na uaminifu ndizo zinazombeba mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya chama hicho, Othman Masoud Othman. Hoja nyingine ni uwajibikaji na kiongozi anayejali maisha ya Wazanzibari, akitaka waishi vizuri. Ameeleza hayo leo Jumapili, Septemba 14, 2025, wakati…

Read More

MGOMBEA CCM KUIGEUZA BUSERESERE DUBAI YA TANZANIA

:::::::: SIKU moja baada ya kufanyika uzinduzi wa kampeni za Uchaguzi mkuu wa Rais,Wabunge na Madiwani 2025 katika wilaya ya Chato mkoani Geita, mgombea Ubunge wa Jimbo la Chato Kusini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Paschal Lutandula, ameahidi kuubadilisha mji mdogo wa Buseresere kuwa Dubai ya Tanzania iwapo atachaguliwa kuwa Mbunge. Kadhalika amemtaka aliyekuwa Mbunge…

Read More

Mavunde aonya wakopaji dhidi ya mikopo umiza

Dodoma. Mgombea ubunge wa Mtumba, Anthony Mavunde amesema kukopa bila elimu ya ujasiriamali na fedha ni chanzo cha mikopo umiza. Kutokana na hilo, amewataka wananchi hasa kinamama na vijana kuacha kukopa kwa kuiga kwani watajikuta wameingia mahali penye hasara kubwa. Mavunde ametoa kauli hiyo jana Jumamosi Septemba 13,2025 kwa nyakati tofauti alipokuwa kwenye ziara ya…

Read More

KABUDI AHAIDI MAENDELEO KILOSA – MICHUZI BLOG

Farida Mangube, Kilosa Morogoro Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kilosa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Profesa Palamagamba Kabudi, amewataka wananchi wa jimbo hilo kuwachagua Rais, Mbunge na Madiwani wa CCM ili kuhakikisha kasi ya maendeleo inaongezeka kwa vitendo. Profesa Kabudi ametoa kauli hiyo wakati wa uzinduzi wa kampeni za ubunge jimboni humo, akibainisha baadhi ya…

Read More