Bado Watatu – 28 | Mwanaspoti

KAMA ningetambua mapema kuwa mauaji yale yalifanywa na mwizi, nisingepata usumbufu wa kuificha ile maiti na kwenda kuitupa. Ningeripoti polisi na nisingepatwa na tatizo lolote.Hapo hapo nikakumbuka kwamba mtu aliyeuawa alikuwa mume wa mtu, na aliuawa nyumbani kwangu usiku wa manane wakati mimi niliyekuwa naye ni mke wa mtu! Je, kama ningeripoti polisi, nini kingetokea?…

Read More

Peace Solution Tanzania Yajipanga Kulinda Amani ya Taifa

Taasisi ya Peace Solution Tanzania (PST) imeendesha mafunzo kwa maofisa wake jijini Dar es Salaam leo, Septemba 13, 2025, kwa lengo la kuwajengea uwezo kabla ya kwenda kuelimisha jamii kuhusu umuhimu wa kuilinda na kuienzi amani ya nchi. Akizungumza katika kikao hicho cha kitaifa, Kamishna Mkuu wa PST, Dkt. Meshack Stanley Chiburwa, alisema kuna baadhi…

Read More

MAELFU WAJITOKEZA UZINDUZI KAMPENI JIMBO LA ITWANGI

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Itwangi CCM Azza Hillal Hamad akinadi sera kwa wananchi.Wananchi wakiwa kwenye uzinduzi wa kampeni za Uchaguzi Mkuu Jimbo la Itwangi mkoani Shinyanga Mgombea Ubunge wa Jimbo la Itwangi CCM Azza Hillal Hamad akinadi sera kwa wananchi, kulia ni Mgeni rasmi Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (MNEC) Munde Tambwe Na…

Read More

Watu 700 kutibiwa mtoto wa jicho Songwe

Mbeya. Zaidi ya wananchi 700 wakiwemo wazee waishio maeneo ya pembezoni mkoani Songwe, wanatarajia kunufaika na huduma uchunguzi wa mtoto wa jicho na upasuaji bure kwa lengo la kurejesha matumaini. Kambi hiyo iliyoanza leo Jumamosi Septemba 13 mpaka 19 mwaka huu, itahusisha madaktari bingwa kutoka Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya (MZRH) na Mkoa wa…

Read More