DK.SAMIA:HUWEZI KUSIKIA MTU CCM AKISEMA ‘TUKIWASHE’ LABDA KIWE KING’AMUZI CHA AZAM

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Kasulu MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)Rais Dk.Samia Suluhu Hassan Chama kinachojali ustawi wa taifa letu la Tanzania usikii mtu kwenye Chama hicho akisema tukiwashe na kama wakisema tukiwashe labda kile king’amuzi cha Azam lakini siyo tukiwashe kwa fujo.  Dk.Samia ameyasema hayo leo Septemba 13,2025 alipokuwa akihutubia maelfu ya wananchi…

Read More

DK.SAMIA ATOA RAI WANANCHI KUCHANGAMKIA FURSA KIGOMA KUFANYABIASHARA NA NCHI JIRANI

 *Aweka wazi mipango itakayokwenda kutekelezwa na serikali miaka mitano ijayo *Azungumzia mbolea ,pembejeo za ruzuku zilivyoongeza uzalishaji mazao Kigoma Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Kigoma MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM)Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imefanya maendeleo makubwa katika Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma ambayo kwa ujumla imefungua fursa kwa wananchi wa mkoa huo. Akizungumza leo…

Read More

Askofu Sosthenes azikana nyaraka kesi ya Askofu Sepeku

Dar es Salaam. Askofu wa Kanisa Anglikana Tanzania, Dayosisi ya Dar es Salaam, Jackson Sosthenes amezikana nyaraka za ofisi yake zilizotolewa na watangulizi wake kuhusu uamuzi wa kumzawadia shamba na nyumba Askofu mwanzilishi wa dayosisi hiyo na kanisa hilo nchini, hayati John Sepeku. Wakati watangulizi wake katika ushahidi wao na nyaraka mbalimbali zilizowasilishwa mahakamani hapo…

Read More

Dk Nchimbi: Tutaziunganisha kaya zote na umeme

Kilimanjaro. Mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema, shabaha ya chama hicho miaka mitano ijayo ni kuhakikisha kaya zote nchini zinaunganishwa na umeme ili kuchochea maendeleo ya wananchi. Dk Nchimbi amesema hayo leo Jumamosi, Septemba 13, 2025 katika mikutano ya kampeni ya uchaguzi mkuu kwenye baadhi ya majimbo mkoani…

Read More