TRA Kagera, yawashika mkono watoto wenye mahitaji maalumu

Bukoba. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),  Mkoa wa Kagera wamekabidhi msaada wa vitu vyenye thamani ya Sh5 milioni katika kituo cha kulelelea watoto wenye mahitaji maalumu cha Nusulu Yatima, Kashai Bukoba. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumamosi, Septemba 13, 2025 Meneja wa TRA Mkoa Kagera, Castro John amesema lengo la msaada huo ni kurudisha kwa…

Read More

Polisi Mara yapokea magari mapya 16 kuboresha utendaji

Musoma. Jeshi la Polisi mkoani Mara limepokea magari mapya 16 kwa ajili ya kuboresha utendaji wao wa kazi huku Kamanda wa Polisi mkoani humo, Pius Lutumo akitoa onyo kwa madereva wa magari hayo kuepuka uendeshaji usiofuta sheria za usalama barabarani ikiwemo mwendokasi. Akikabidhi magari hayo kwa watendaji wa jeshi hilo ngazi ya mkoa na wilaya,…

Read More

Nyambui ashauri mambo matatu kukuza riadha

‎DAMIAN MASYENEN‎‎KUENDELEA kusuasua kwa riadha nchini kumemuibua mwanariadha mkongwe na kocha wa mchezo huo, Suleiman Nyambui ambaye ameshauri mambo matatu yatakayoupa hadhi mchezo huo. Nyambui ameyataja mambo hayo kuwa ni kupata wadhamini, mbio zinazoandaliwa katika maeneo mbalimbali nchini kuwa na maandalizi bora yatakayovutia wanariadha kushiriki pamoja na wadau na wanariadha kujitokeza kwa wingi pale mbio…

Read More

Mpina ateuliwa kuwania urais, akataa gari ya INEC

Dar es Salaam. Chama cha ACT-Wazalendo kimekataa kupokea gari jipya lililotolewa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kwa kila mgombea wa nafasi ya urais kikisema kiko vizuri katika rasilimali. Tukio hilo limetokea leo Septemba 13, 2025 baada ya Mpina kurejesha fomu INEC, Dar es Salaam za kuomba kuteuliwa kuwania nafasi ya urais katika…

Read More

Mpina alikataa shangingi la INEC akiteuliwa kuusaka urais

Dar es Salaam. Wakati Mgombea urais wa Chama cha ACT Wazalendo, Luhaga Mpina akiteuliwa rasmi kuwania nafasi hiyo, Chama hicho kimelikataa gari jipya aina ya Toyota LandCruiser GX VXR lililotolewa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kwa ajili ya kampeni za urais. Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Mstaafu Jacobs Mwambegele, akizungumza leo Jumamosi…

Read More

Lusajo asaka rekodi mpya Tabora United

BAADA ya kushindwa kufanya vizuri Dodoma Jiji na kutua Tabora United mshambuliaji,  Reliants Lusajo ametaja sababu iliyomnyima rekodi ya upachikaji mabao msimu uliopita na kuahidi neema msimu huu. Akizungumza na Mwanaspoti, Lusajo alisema hakuwa na msimu mzuri msimu uliopita kutokana na kusumbuliwa na majeraha ya mara kwa mara lakini anamshukuru Mungu msimu huu yupo fiti…

Read More

Kipa Yanga apata chimbo | Mwanaspoti

KIPA wa zamani wa Yanga Princess, Adrophina Samson amejiunga na Ruangwa Queens kwa mkataba wa miaka miwili. Timu hiyo imepanda Ligi Kuu ya Wanawake Bara msimu huu. Kipa huyo aliitumikia Yanga Princess misimu miwili mfululizo na kipindi hicho hakupata nafasi ya kuanza katika kikosi cha kwanza tangu kocha Mzambia Charles Haalubono na sasa Edna Lema…

Read More