Baraza la Usalama kukutana kufuatia ukiukwaji wa Urusi wa Airspace ya Kipolishi, kwani wasiwasi unazidi vita vya drone – maswala ya ulimwengu

Mkutano huo uliulizwa na Poland baada ya kuripoti kwamba ukiukwaji angalau 19 na drones za Urusi za eneo lake mara moja hadi Jumatano wakati wa kombora kubwa na mgomo wa drone dhidi ya Ukraine. Sehemu hiyo iliashiria uchochezi mkubwa zaidi tangu kuanza kwa uvamizi kamili wa Urusi wa Ukraine mnamo 2022. Wakati Poland na washirika…

Read More

Wiki ya Wananchi, kishindo cha vaibu

KILELE cha wiki ya Mwananchi kimehitimishwa kwa kishindo, huku kila shabiki akitoka meno nje akitamba mambo freshi na msimu mpya uanze. Yanga ilifanya tamasha hilo leo ambapo kilele chake kilikuwa palepale Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam na mashabiki wa klabu hiyo kufurika kwa wingi. *Vinywaji kibao*Mapema tu ilikuwa mashabiki wakiwa wanaingia uwanjani,…

Read More

Hiki hapa chanzo cha ajali migodini

Dar es Salaam. Wakati mara kadhaa Serikali ikinyooshewa kidole pale zinapotokea ajali kwenye migodi, Kamishna Msaidizi Wizara ya Madini, Terrence Ngolo amesema ajali hizo haziwezi kuisha kutokana na watu kukiuka maelekezo ya wataalamu. Amesema wakati mwingine ajali hizo hutokea kwa uzembe hasa pale wachimbaji wanapokiuka maelekezo ya tahadhari yanayotolewa na wataalamu. Ngolo amesema hayo leo…

Read More

Mambo yanayowasibu wachimbaji wadogo migodini, ufumbuzi watajwa

Dar es Salaam. Licha ya kuwa uchimbaji wa madini ni moja ya shughuli zinazovutia watu wengi, hususan wachimbaji wadogo, bado kundi hilo linakabiliwa na changamoto nyingi zinazohatarisha usalama na afya zao. Miongoni mwa changamoto kubwa ni matumizi ya kemikali hatari kama zebaki, ambapo takwimu zinaonyesha kuwa takribani asilimia 71 ya shughuli za uchimbaji nchini zinahusisha…

Read More

Majaliwa azindua kampeni za ubunge Nachingwea

Dar es Salaam. Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amezindua kampeni za ubunge Nachingwea, akitoa wito kwa wananchi kuchagua wagombea wote wa chama hicho katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Akizungumza kwenye kampeni zilizofanyika uwanja wa maegesho ya malori Nachingwea mjini, leo Septemba 12, 2025…

Read More