City FC Abuja mabingwa Tanzanite Pre-Season International

MASHINDANO ya Tanzanite Pre-Season International yamehitimishwa leo Septemba 7, 2025 kwa City FC Abuja kuwa mabingwa. City FC Abuja kutoka Nigeria, imetwaa ubingwa huo kufuatia ushindi wa penalti 4-3 dhidi ya Namungo ya Ruangwa mkoani Lindi. Katika mchezo huo wa fainali uliochezwa kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa uliopo Babati mkoani Manyara, dakika tisini zilimalizika kwa…

Read More

Watu wawili wafariki ajali ya basi na lori Shinyanga

Shinyanga. Madereva wawili wa Fuso na basi aina ya Tata wamepoteza maisha katika ajali iliyotokea barabara kuu ya Tinde–Isaka, eneo la Tarafa ya Itwangi, Kijiji cha Nyashimbi. Kamanda wa Polisi mkoani Shinyanga, Janeth Magomi amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo akisema chanzo ni uzembe wa dereva wa basi.  Amesema ajali hiyo ilitokea Septemba 6, 2025 majira…

Read More

Kasi ya mikopo inapungua, sekta nyingine zinakua

Dar es Salaam. Wakati ukuaji wa mikopo kwa shughuli za kiuchumi ukiendelea kuwa chanya, takwimu mpya zinaonesha kasi yake inapungua, huku baadhi ya sekta zikionekana kupata mwendo wa kasi na nyingine zikibaki nyuma. Takwimu za Benki Kuu ya Tanzania (BoT) zinaonesha kuwa katika mwaka ulioishia, mikopo kwa sekta binafsi ilikua kwa asilimia 15.9, ikipungua kutoka…

Read More

Polisi yaeleza sababu ya kuwashikilia waandishi wawili Arusha

Arusha. Jeshi la Polisi mkoani Arusha linawashikilia waandishi wa habari wawili kwa tuhuma za kuendesha televisheni za mtandaoni (online TV) ambazo hazijasajiliwa kisheria. Waandishi hao ni Baraka Lucas, anayefanya kazi na Jambo TV, na Ezekiel Mollel wa Manara TV. Kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa leo, Jumapili, Septemba 7, 2025, na Msemaji Mkuu wa…

Read More

Othman afanya mazungumzo ya amani kuelekea uchaguzi mkuu

Unguja. Makamu wa Kwanza wa Rais, Othman Masoud Othman, amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa Jumuiya ya Maimamu Zanzibar (Jumaza), ikiwa ni mwendelezo wa kuhamasisha amani nchini kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Mazungumzo hayo yaliyofanyika leo, Septemba 7, 2025, ukumbi wa Jamat-Khan Mkunazini, Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, yameonesha Othman akisisitiza kwamba…

Read More

Makapu mzuka mwingi Mbuni FC

KIUNGO mkabaji wa zamani wa Yanga, Said Juma ‘Makapu’ ametua Mbuni FC kwa mkataba wa miezi sita, huku akisema anatarajio ya kufanya makubwa akiwa na timu hiyo kwa vile ameshaizoea Ligi ya Championship inayoshiriki timu hiyo. Kiungo huyo wa zamani wa timu ya taifa, Taifa Stars msimu uliopita aliichezea Geita Gold katika Ligi ya Championship…

Read More

APR, KMC zajiweka pazuri CECAFA Kagame Cup

MIAMBA ya soka la Rwanda, APR na vijana wa Kinondoni, KMC zimejiweka pazuri kutuinga nusu fainali kutokana na kushinda mechi mbili za kwanza za hatua ya makundi ya michuano ya Kombe la Kagame 2025 inayoendelea jijini Dar es Salaam. Jana Jumamosi, KMC ilichomoza na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Bumamuru ya Burundi, likifungwa na…

Read More

Mtanzania asalia Misri mwaka mmoja

MSHAMBULIAJI wa Makadi FC, Oscar Evalisto, amesema ameamua kusalia klabuni hapo kwa msimu mmoja ili kusikilizia ofa za Ligi Kuu nchini humo ambazo hazikufikiwa awali. Huu ni msimu wa pili kwa mshambuliaji huyo kuitumikia Makadi. Msimu uliopita alicheza miezi sita akitokea Mlandege na aliwahi kupita Paje Star ya Zanzibar na Lipuli U-20. Akizungumza na Mwanaspoti,…

Read More

MDM yaita wenye makovu kwenye njia ya mkojo

Na Mwandishi Wetu HOSPITALI ya Mfumo wa Mkojo na Uzazi ya MDM ya Mbezi Beach jijini Dar es Salaam imeandaa kambi maalum endelevu kuanzia tarehe 8 Jumatatu kwaajili ya matibabu ya maradhi ya mfumo wa mkojo na mfumo wa uzazi. Hayo yalisemwa jana jijini Dar es Salaam na Dk Mathias Kimolo ambaye ni daktari bingwa…

Read More