Clara Luvanga anaitaka rekodi Saudia

BAADA ya kuingia kwenye kikosi bora cha wiki mara mbili kwenye Ligi Kuu ya Wanawake Saudi Arabia, mshambuliaji wa Kitanzania, Clara Luvanga anayekipiga Al Nassr amesema huo ni mwanzo tu kwake. Msimu mpya wa Ligi ya Wanawake Saudia umeanza na hadi sasa zimechezwa mechi tatu na nyota huyo ameingia kwenye kikosi bora cha wiki mara…

Read More

Juma Kaseja mguu sawa Championship

BAADA ya ratiba ya Ligi ya Championship kuwekwa wazi, Kocha wa Kagera Sugar, Juma Kaseja amesema moja ya malengo makubwa anayopambana nayo ni kuhakikisha anakirejesha tena kikosi hicho Ligi Kuu Bara, licha ya ushindani mkubwa uliopo. Akizungumza na Mwanaspoti, Kaseja alisema baada ya ratiba kutoka na kikosi hicho kuanza mechi mbili mfululizo nyumbani, wanahitaji kupambana…

Read More

Kipa Dodoma Jiji aipigia hesabu Taifa Stars

KIPA wa Dodoma Jiji, Ally Salim amesema japo ni mapema kwa sasa kuanza kutamba, lakini nafasi anayopata ya kucheza katika timu hiyo, imempa matumaini makubwa ya kumrejesha tena kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars. Kipa huyo juzi alicheza mechi ya tatu ya Ligi Kuu akiwa na Dodoma na kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi…

Read More

Jean Baleke kuibukia Libya | Mwanaspoti

ALIYEKUWA mshambuliaji wa Simba na Yanga, Mkongomani Jean Baleke, anakaribia kujiunga na kikosi cha Al-Khums ya Libya, baada ya nyota huyo kudaiwa amekubaliana masilahi binafsi na timu hiyo ambayo imeonyesha nia ya kumhitaji. Kwa mujibu wa taarifa kutoka Libya, zinaeleza Baleke aliyeachana na Yanga baada ya mabosi wa timu hiyo kutoridhishwa na kiwango chake, kwa…

Read More

Meridianbet Yaja Na Dhamira ya Ushindi Mechi Za Jumatatu

JUMATATU hii, viwanja vya soka barani Ulaya vinageuka majukwaa ya burudani na ushindani mkali, huku mashabiki wakijiandaa kushuhudia mechi nne za kuvutia kutoka EPL, La Liga na Serie A. Kwa wale wanaopenda kubashiri kwa maarifa, Meridianbet imeweka mazingira ya ushindi kuwa ya kuvutia zaidi kuliko kawaida, odds kubwa na machaguo tele kwa kila dakika ya…

Read More

Simba yavamia jeshini, yataka kubeba kocha

BAADA ya kufuzu raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika, ikiwa chini ya kaimu kocha mkuu, Hemed Suleiman ‘Morocco’ uongozi wa Simba umetuma maombi ya kumhitaji kocha wa JKT Tanzania, Ahmad Ally ili kuongeza nguvu benchi la timu hiyo kama kocha msaidizi. Simba iliyofikia makubaliano ya kuachana na aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo,…

Read More

DKT. BITEKO AWAPA HEKO WACHIMBAJI WADOGO WA MADINI

Teknolojia za kisasa za uchenjuaji madini zatajwa kuwa na tija kuliko matumizi ya zebaki Serikali kuendelea kuweka mazingira wezeshi kwa ajili ya maendeleo ya sekta ya madini Mwaka 2020/2021 hadi 2024/2025 Serikali yakusanya zaidi ya shilingi tirioni 3.8 kutoka sekta ya madini Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati SERIKALI imeongeza ushirikishwaji…

Read More

Watu 4 Wauawa, Wengi Wamejeruhiwa – Global Publishers

Watu wanne wamepoteza maisha na wengine wanane kujeruhiwa baada ya mtu mwenye silaha kushambulia ibada katika Kanisa la Yesu Kristo la Watakatifu wa Siku za Mwisho huko Grand Blanc Township, Michigan, Jumapili asubuhi, polisi wanasema. Mshukiwa aliuawa na maafisa waliojibu tukio. Mamlaka zimetambua mshukiwa kuwa Thomas Jacob Sanford, 40, ambaye alidaiwa kulipiga…

Read More