Bandari Dar na rekodi ya kuhudumia meli kubwa

Dar es Salaam. Baada ya mageuzi ya huduma yaliyochochea ufanisi katika uendeshaji wa bandari, hatimaye Bandari ya Dar es Salaam imeanza kupokea na kuhudumia meli kubwa zenye urefu wa hadi mita 300. Hatua hiyo inakuja baada ya uwekezaji katika sekta ya bandari uliolenga kuifanya Bandari ya Dar es Salaam kuwa kituo kikuu cha kuhudumia shehena…

Read More

Ombwe la midahalo mjadala | Mwananchi

Dar es Salaam. Licha ya shangwe, shamrashamra na furaha zinazoshuhudiwa katika mikutano ya kampeni za uchaguzi, kukosekana kwa midahalo ya wagombea urais inayorushwa mubashara kunatajwa kuwa ombwe katika demokrasia ya Tanzania. Hii si ajali ya kisiasa ya msimu huu pekee. Ni utamaduni uliojengeka kwa zaidi ya miongo mitatu tangu kuanza kwa mfumo wa siasa za…

Read More

Majaliwa aitaja miradi mitano mikubwa akizindua kampeni Mchinga

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amewahakikishia wananchi wa Lindi kuwa miradi mbalimbali ya maendeleo itaendelea kutekelezwa endapo watamchagua mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29,2025. Amesema miradi hiyo ni pamoja na gesi, bandari ya uvuvi Kilwa, ujenzi upya wa barabara ya Dar es Salaam–Lindi,…

Read More

Itutu: Tutauza gesi kwa Sh3,000, kukomesha ufisadi na rushwa

Mwanza. Mgombea ubunge wa Ilemela kwa tiketi ya chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Shaban Itutu, amesema akiingia madarakani yeye na chama chake watafanya mapinduzi makubwa kuboresha maisha ya Watanzania, ikiwemo kushusha gharama za gesi ya kupikia, kutatua changamoto ya maji, kujenga uwanja wa soka mkoani Mwanza na kupambana na ufisadi na rushwa. Itutu…

Read More

Polisi walivyoyazima maadhimisho ya Chadema

Dar/Mikoani. Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa yaliyoandaliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) hayakufanyika, baada ya viongozi wake wa ngazi ya kanda kujikuta mikononi mwa polisi, huku wengine wakizuiliwa kufika eneo la tukio. Hata hivyo, alipotafutwa Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime, kuzungumzia matukio hayo, simu yake iliita bila kupokelewa, na hata alipotumiwa…

Read More

Jeshi la Polisi lilivyoyazima maadhimisho ya Chadema

Dar/Mikoani. Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa yaliyoandaliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) hayakufanyika, baada ya viongozi wake wa ngazi ya kanda kujikuta mikononi mwa polisi, huku wengine wakizuiliwa kufika eneo la tukio. Hata hivyo, alipotafutwa Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime, kuzungumzia matukio hayo, simu yake iliita bila kupokelewa, na hata alipotumiwa…

Read More

Yanga kutumia Sh 33 Bilioni msimu ujao

YANGA imetangaza itatumia kiasi cha Sh 33 Bilioni kwa msimu ujao wa 2025-2026 kuhakikisha wanaendelea kutamba. Akitangaza bajeti hiyo Makamu wa Rais wa Yanga Arafat Haji amesema bajeti hiyo ni ongezeko la kama Sh 8 bilioni kulinganisha na bajeti ya Sh 25.3 Bilioni ya msimu uliopita. Arafat amesema katika bajeti ya msimu uliopita, Yanga ilibaki…

Read More