WITO WATOLEWA KWA WADAU KUENDELEA KUUNGA MKONO JITIHADA ZA KUPAMBANA NA CHANGAMOTO ZA LISHE NCHINI

:::::: NA. MWANDISHI WETU – DAR ES SALAAM Mkurugenzi Mtendaji Taasisi ya Chakula na Lishe Dkt. Germana Leyna ametoa wito kwa wadu wa masuala ya lishe nchini kuendelea kuunga mkono jitihada za kupambana na changamoto zinazokabili masuala ya Lishe huku akisema kuwa Tanzania imepiga hatua kubwa katika kukabili changamoto hizo kwa kuwa na mikakati madhubuti….

Read More

Jumapili ya Balaa La Ulaya Na Faida Za Kifalme

MASHABIKI wa soka wanapata burudani ya kipekee leo, huku miamba wa Ulaya wakipambana vikali kusaka pointi muhimu. Kwa wapenzi wa kubashiri, Meridianbet imeweka odds za kuvutia na machaguo mengi ya kukupa faida ya haraka. Aston Villa wanawakaribisha Fulham mchana huu. Villa bado hawajapata ushindi msimu huu, lakini wanapambana kwa nguvu kurekebisha hali. Fulham wana safu…

Read More

Jumapili ya Balaa La Ulaya Na Faida Za Kifalme

MASHABIKI wa soka wanapata burudani ya kipekee leo, huku miamba wa Ulaya wakipambana vikali kusaka pointi muhimu. Kwa wapenzi wa kubashiri, Meridianbet imeweka odds za kuvutia na machaguo mengi ya kukupa faida ya haraka. Aston Villa wanawakaribisha Fulham mchana huu. Villa bado hawajapata ushindi msimu huu, lakini wanapambana kwa nguvu kurekebisha hali. Fulham wana safu…

Read More

NENO KWA NENO ALIYOYASEMA JAKAYA KIKWETE MBELE YA DK.SAMIA AKIMUOMBEA KURA

*Amhakikishia  mgombea Urais Pwani watamchagua kwa kura nyingi za kihistoria *Asema hawapo tayari  kuchanganya pumba na mchele…kwani hawafanyi biashara hiyo Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Pwani. RAIS Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne Dk.Jakaya Kikwete amewaomba wananchi wa Mkoa wa Pwani na Watanzania kwa ujumla kumpigia kura ya ndio mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM)Rais Dk.Samia…

Read More