ACT-Wazalendo waita nyomi hukumu ya kesi ya Mpina kesho

Dodoma. Chama cha ACT-Wazalendo kimeita wanachama, wadau na wale wanaotajwa kuwa wapenzi wa demokrasia kujitokeza kwa wingi kesho katika Mahakama Kuu Masijala Kuu Dodoma ili kusikiliza hukumu ya mtiania wao wa urais, Luhaga Mpina. Kaimu Katibu Mkuu wa ACT-Wazalendo, Mbarala Maharagande, amewaambia waandishi wa habari leo, Jumatano, Septemba 10, 2025, kuwa wanatarajia kuwa na umati…

Read More

Matumizi ya AI kwenye matibabu yawaibua wataalamu wa afya

Dar es Salaam. Matumizi chanya ya teknolojia ya Akili Unde (AI) katika utambuzi wa magonjwa na urahisishaji wa matibabu yameelezwa kuwa miongoni mwa afua muhimu zinazoweza kubadilisha taswira ya sekta ya afya barani Afrika. Kauli hiyo imetolewa na wataalamu wa afya waliohudhuria ufunguzi wa Maonesho ya 26 ya Africa 2025 MEDEXPO, yanayofanyika kuanzia leo, Septemba…

Read More

Haya ndio matumaini mapya wakazi Kisiwa cha Uzi

Unguja. Baada ya kilio, mateso na kuhangaika kwa muda mrefu wakazi wa kisiwa cha Uzi na Ng’ambwa Mkoa wa Kusini Unguja, sasa wameeleza matumaini mapya baada ya kuanza ujenzi wa daraja lenye urefu wa kilometa 2.2 kuunganisha visiwa hivyo na maeneo mengine. Kwa kawaida wananchi wa visiwa hivyo kuingia na kutoka hutegemea kupwa na kujaa…

Read More

Samia kufanyia kazi ombi la Nzega kuwa mkoa mpya

Nzega. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanznia kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameahidi kuyafanyia kazi maombi yaliyowasilishwa kwake na mgombea ubunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe, ikiwemo kuanzisha mkoa mpya wa Nzega. Samia ametoa ahadi hiyo leo, Septemba 10, 2025, wakati wa mkutano wake wa kampeni katika Jimbo la Nzega…

Read More