ACT-Wazalendo waita nyomi hukumu ya kesi ya Mpina kesho
Dodoma. Chama cha ACT-Wazalendo kimeita wanachama, wadau na wale wanaotajwa kuwa wapenzi wa demokrasia kujitokeza kwa wingi kesho katika Mahakama Kuu Masijala Kuu Dodoma ili kusikiliza hukumu ya mtiania wao wa urais, Luhaga Mpina. Kaimu Katibu Mkuu wa ACT-Wazalendo, Mbarala Maharagande, amewaambia waandishi wa habari leo, Jumatano, Septemba 10, 2025, kuwa wanatarajia kuwa na umati…