Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Septemba 29, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
Na Albert Kawogo,Bagamoyo SERIKALI imezitaka taasisi zinazosimamia malezi ya watoto yatima na wale wanaoshi katika mazingira magumu kusimamia miongozo,taratibu na sheria katika matumizi ya misaada mbalimbali wanayopewa ili kujenga imani ya wahisani wanaotoa misaada hiyo Wito huo umetolewa hivi karibuni na Afisa Ustawi wa Jamii wa Wilaya ya Bagamoyo Abuu Yasin wakati wa sherehe…
Hafla hiyo ya muziki, ambayo ilifanyika katika Hifadhi ya Kati mwishoni mwa wiki iliyopita ya Wiki ya kiwango cha juu cha Mkutano Mkuu, ni tukio la kushangaza kutoka kwa Citizen ya Global, harakati kubwa zaidi ulimwenguni kumaliza umaskini uliokithiri. Mstari wa mwaka huu ulijumuisha nyota za kimataifa kama vile Shakira, Cardi B na Rosé. Bi…
::::::::: Mwanzilishi na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya WAZOHURU MEDIA Ndg Mathias Canal amewaongoza Viongozi wa dini, Wadau wa maendeleo na Waumini kwenye harambee ya ujenzi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheli Tanzania-KKKT Usharika wa St George Kiomboi Wilaya ya Iramba Mkoani Singida. Katika harambee hiyo iliyofanyika leo tarehe 28 Septemba 2025 katika eneo…
Dar es Salaam. Kampeni za vyama vya siasa kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025, zimetimiza mwezi mmoja sasa tangu Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) ilipotangaza rasmi kuanza kwa kampeni hizo, Agosti 28, 2025. Vyama hivyo vilianza kufanya kampeni zao kwa kuwanadi wagombea wao wa urais, ubunge na udiwani sambamba na kunadi ilani…
Kama ukifika sokoni umekuwa ukizikimbia nyanya zilizobonyea au kupondeka maarufu masalo, jiulize mara mbili, huenda hizo ndio salama zaidi kwa afya yako.
Mgombea Udiwani wa Kata ya Maganzo, Hamza Yusuph Tandiko. Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog Kampeni za Uchaguzi Mkuu kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) zimeendelea kushika kasi, ambapo Mgombea Udiwani wa Kata ya Maganzo, Jimbo la Kishapu mkoani Shinyanga, Hamza Yusuph Tandiko, ameendelea kunadi Ilani ya CCM ya Uchaguzi Mkuu 2025-2030 akisisitiza kuwa ni…
Geita. Naibu Waziri Mkuu Doto Biteko amesema mageuzi ya teknolojia na usimamizi madhubuti katika sekta ya madini, yameiwezesha serikali kukusanya sh3.8 trilioni katika kipindi cha miaka minne, sawa na asilimia 96 ya lengo la Wizara ya Madini. Akizungumza wakati wa kufunga monyesho ya nane ya kitaifa ya teknolojia ya madini Dk Biteko amesema mabadiliko hayo…
Dodoma. Askofu wa Jimbo Katoliki Zanzibar, Augustino Shao amesema amani ya kweli haiwezi kupatikana bila haki, akisisitiza kwamba mioyo ya watu wengi inavuja kwa kukosa haki licha ya kuonekana wametulia. Askofu Shao amesema hayo leo leo Jumapili Septemba 29, 2025 wakati akihubiri kwenye misa ya Sakramenti ya Kipaimara, katika Parokia ya Kivule, Jimbo Kuu Katoliki…