Samia kufanyia kazi ombi la Nzega kuwa mkoa

Nzega. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanznia kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameahidi kuyafanyia kazi maombi yaliyowasilishwa kwake na mgombea ubunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe, ikiwemo kuanzisha mkoa mpya wa Nzega. Samia ametoa ahadi hiyo leo, Septemba 10, 2025, wakati wa mkutano wake wa kampeni katika Jimbo la Nzega…

Read More

Taifa yaimba na Mbosso | Mwanaspoti

Ni burudani tu ndani ya Uwanja wa Mkapa katika Simba Day, ambapo mashabiki wa Simba wameimba pamoja na msanii Mbosso. Mbosso ambaye ameanza kwa kuimba wimbo wake mpya wa Selemani kabla ya kuimba vigongo vyake kadhaa amewateka zaidi mashabiki kwa kuimba nao ‘live’ wimbo wake wa ‘Haijakaa sawa’ ambao aliutoa wakati yupo chini ya lebo ya…

Read More

TADB na Solidaridad wawezesha Vijana ufugaji Ng’ombe wa Maziwa Mkoani Tanga

Vijana wameendelea kupiga hatua za kimaendeleo Mkoani Tanga Kupitia ufugaji wa ng’ombe wa Maziwa waliowezeshwa na Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) kwa kushirikiana na Solidaridad. Katika kukabiriana na changamoto ya ukosefu wa ajira kwa vijana, TADB kwa kushirikiana na Solidaridad East Africa wameanzisha mpango wa kipekee unaoitwa Youth Farm Settlement (YFS), chini ya Dairy…

Read More

Baba’ke Kamwe ndani kwa Mkapa Simba Day

BABA mzazi wa Ofisa Habari wa Yanga, Ali Kamwe yupo kwa Mkapa akishuhudia kilele cha wiki ya Simba Day. Mzee Shaaban Kamwe ambaye amekuwa akitangaza kuwa ni shabiki wa Simba ameingia uwanjani akikaa jukwaa la VIP. Mzazi huyo wa msemaji wa mabingwa wa Ligi Kuu Bara ameingia uwanjani tangu saa 10:00 jioni akiwa na mtoto…

Read More

Historia mpya, washtakiwa 30 wakiri makosa ya ugaidi

Dar es Salaam. Linaweza kuwa moja ya matukio nadra kutokea katika usikilizwaji wa kesi, baada ya washtakiwa wote 30 kukiri makosa kadhaa ya ugaidi na kuhukumiwa kifungo cha miaka sita jela, baada ya kusota gerezani kwa miaka 10. Uamuzi wa washtakiwa kukiri makosa ya ugaidi unaingia katika matukio yaliyovunja rekodi katika haki jinai, hasa ikizingatiwa…

Read More

Chino aingia na staili ya zombi 

MSANII wa Bongo Fleva na dansa maarufu, Chino Wanaman ndiye msanii wa kwanza kuburudisha kilele cha wiki ya Simba Day akiingia na staili ya zombi. Leo ni kilele cha Simba Day ambacho baadaye kitahitimishwa na burudani ya soka, Simba ikiialika Gor Mahia kutoka Kenya. Msanii huyo ameingia kusherehesha kwa Mkapa akiongozana na msanii wa singeli,…

Read More

UJENZI WA KAMPASI YA NJOMBE UDOM WAANZA KWA KASI

  Ujenzi ukienda kwa pamoja na usomaji ramani na michoro. Watalaamu wakiangalia kwa makini michoro ya ujenzi wakati wa ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi. Na Mwandishi Wetu MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Profesa Lughano Kusiluka, ameeleza kuridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa Kampasi ya UDOM mkoani Njombe, huku akisisitiza mkandarasi kuongeza…

Read More