Mziki mnene wa Simba Day

LEO ndiyo ile siku ya kipekee kwa Simba na mashabiki wa klabu hiyo, iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu. Ni kilele cha Tamasha la Simba Day na ndiyo siku maalumu ya Wanalunyasi hao kutambulisha kikosi kizima kwa msimu mpya wa 2025/2026. Huu ni msimu wa 16 wa Simba Day tangu lilipoanza rasmi mwaka 2009, chini ya Mwenyekiti…

Read More

Hawa ndio wapinzani wa ‘mnyama’ Simba Day

KATIKA kuhitimisha maandalizi ya msimu mpya, Simba itashuka dimbani leo, katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuwakabili mabingwa wa kihistoria wa Kenya, Gor Mahia katika tamasha la Simba Day. Mechi hiyo ya haitakuwa tu fursa kwa mashabiki wa Wekundu wa Msimbazi kuwaona wachezaji wapya, bali ni kipimo cha kikosi hicho kabla ya mechi ya Ngao ya…

Read More

Fyatu kususia uchafuzi na uchakachuaji, sorry, uchaguzi

Sambamba na nchi zote zitakazokuwa na uchaguzi mwaka huu, hata Mafyatu, nchi ya ndotoni, itakuwa na uchuguzi karibuni. Kama mjuavyo, Fyatu niliahidi ningeshiriki na kushinda kwa kishindo tena bila kuchakachua au kuchakachuliwa kama uchaguzi ungekuwapo na si uchafuzi na uchakachuaji unaokuja soon. Naona wale wanashangaa. Hamjui fyatu anaweza kufyatuka wakati wowote? Now, why? Nafyatua kimombo…

Read More

Ecua azua la kuzua Yanga, Mfaransa afunguka

KATI ya wachezaji 11 wapya waliotua Yanga kwa ajili ya msimu wa 2025-2026, kiungo mshambuliaji Celestine Ecua mapema tu ameonekana kuwashtua mabosi wa timu hiyo. Ecua ambaye hivi karibuni akiwa na kikosi cha timu ya taifa ya Chad alifunga bao dhidi ya Ghana kisha kuwapa jeuri kubwa mashabiki wa Yanga, ameshtua kutokana na uamuzi alioufanya…

Read More

Watu wa Sudan waliteswa na kuuawa katika ‘nyumba za kuchinjia’, uchunguzi wa haki unasema – maswala ya ulimwengu

Muda kidogo baada ya kuwasilisha ripoti iliyoamriwa kwa Baraza la Haki za Binadamu Huko Geneva Jumanne, Mwenyekiti wa Ujumbe wa Kutafuta Ukweli juu ya Sudan, Mohamed Chande Othman, alisisitiza kwamba Wanajeshi wote wa Jeshi la Sudan (SAF) na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) walikuwa wamefanya uhalifu wa ukatili. Kati ya ushuhuda uliokusanywa kwa ripoti…

Read More

Necta yaonya kusambaza matokeo kwa majina ya watahiniwa

Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) limewaonya wale wote wanaohifadhi kuhifadhi, kuchapisha, kusambaza au kuonesha hadharani matokeo ya mtihani ya mtahiniwa, kwa kutumia jina lake au taarifa nyingine zozote zinazoweza kusababisha kumtambua mwanafunzi au mtahiniwa bila idhini yake. Kutumia taarifa binafsi zinazomtambulisha mtahiniwa bila kuwa na kibali,  kumetajwa kukiuka Sheria ya Ulinzi…

Read More

TAARIFA KUTOKA BODI YA WAKURUGENZI YA TAIFA GROUP KUHUSU TUHUMA ZILIZOTOLEWA HIVI KARIBUNI

Kwa niaba ya Bodi ya Wakurugenzi wa Taifa Group Limited (“Taifa Group”) tunapenda kukanusha kwa dhati na kwa uwazi tuhuma zisizokuwa na msingi zilizotolewa hivi karibuni kuhusu miamala iliyofanywa na kampuni zetu tanzu za Tancoal Energy Limited (TANCOAL) na Williamson Diamonds Limited (WDL) Tuhuma hizo zinahusu ununuzi wa hisa katika Tancoal na WDL.  Madai hayo…

Read More

Vifaa vyatolewa kusaidia watoto wachanga kupumua

Dar es Salaam. Mradi wa Breathing for Baby (BfB), unaolenga kuokoa maisha ya watoto wachanga wanaozaliwa na changamoto za kupumua, umekabidhi vifaa vya huduma ya watoto wachanga vyenye thamani ya zaidi ya Sh164 milioni kwa hospitali za mkoa wa Dar es Salaam. Takwimu za Tanzania Demographic and Health Survey (TDHS 2022) zinaonesha kuwa vifo vya…

Read More