
BAJETI YA YANGA SC NI TSH. BILIONI 33. 6 MSIMU WA 2025 – 2026
Klabu ya Yanga SC imeweka Bajeti ya kiasi cha fedha zaidi ya Shilingi Bilioni 33 kwenye msimu ujao wa mashindano wa 2025 – 2026. Bajeti hiyo ni ongezeko la asilimia 32 tofauti na msimu uliopita wa 2024 – 2025, ambapo Bajeti ya klabu hiyo ilikuwa Shilingi Bilioni 25.6 wakati matumizi yakiwa Shilingi Bilioni 25.3 wakati…