Mgombea ubunge Mbarali awaomba wananchi kura akamalizie changamoto
Mbeya. Mgombea ubunge wa Mbarali, Bahati Ndingo, amewaomba wananchi kumpa ridhaa kwa kipindi kingine ili akatatue changamoto ya ubovu wa barabara, huduma ya maji safi na nishati ya umeme vijijini. Amesema huduma hizo zitachochea kukua kwa shughuli za kiuchumi kwa wananchi, hususan wakulima wa zao la mpunga, kusafirisha kutoka mashambani kwenda sokoni. Ndingo amesema hayo…